Diwani wa Mbagala Kuu, Shabani Othman Abubakari(CCM) afariki dunia akiwa 'guest' na mwanamke

Diwani wa Mbagala Kuu, Shabani Othman Abubakari(CCM) afariki dunia akiwa 'guest' na mwanamke

Hivi nyie Wazee Wetu ( Baba zetu ) kwanini mnaacha Kutulia Majumbani na Mama zetu hadi mnahangaika na ' Vibinti ' vidogo ambavyo hata Sisi Vijana wenu akina Generalist vinatutoa Jasho Vitandani ila huwa tunawaweza tu kwa Msaada wa Vumbi la Kongo?
🤣🤣🤣
Walahi nimecheka kama mazuri
 
Last week nilikua nimesafiri kias jion naenda dukan ninunue panadol kwa pilikapika za kutwa nzima nikapita bar duka linalofata ni duka la vyakula...so kuna mbabu age amempita babangu akaniita kwa kejeli balaa..wee binti njoo hapa...alikua anagonga kvant..kwanza nilishangaa anagongaje kvant na age hiyo..amezungukwa n wapambe..anaonekana kama don hapo kijijini ..hahaa akaniambia nataka niutumie huo mwili leo🤣...tena kwa kujiamini..,nikamjibu katumie wa mkeo ...unabak kujiuliza huyu anadisa??nyok o zao wafe tu
Wakufwe tu, hakuna namna
 
Last week nilikua nimesafiri kias jion naenda dukan ninunue panadol kwa pilikapika za kutwa nzima nikapita bar duka linalofata ni duka la vyakula...so kuna mbabu age amempita babangu akaniita kwa kejeli balaa..wee binti njoo hapa...alikua anagonga kvant..kwanza nilishangaa anagongaje kvant na age hiyo..amezungukwa n wapambe..anaonekana kama don hapo kijijini ..hahaa akaniambia nataka niutumie huo mwili leo🤣...tena kwa kujiamini..,nikamjibu katumie wa mkeo ...unabak kujiuliza huyu anadisa??nyok o zao wafe tu

Hukumpanulia kweli na Vyuma Kukaza?
 
Ivi mbagala kuu na kijichi ni sehem mmoja au tofauti?

Jirani ni kata zinazopakana ukitokea City centre kwa Kilwa road unaingilia Mission unaanza na Kijichi ila Ukitokea Mbagala Zakhem unaanza Mbagala kuu
 
Back
Top Bottom