Diwani wa Mbagala Kuu, Shabani Othman Abubakari(CCM) afariki dunia akiwa 'guest' na mwanamke

Diwani wa Mbagala Kuu, Shabani Othman Abubakari(CCM) afariki dunia akiwa 'guest' na mwanamke

huku akijua kabisa hana Pumzi za Kutosha za Kuwajibika Kibaiolojia Kitandani.


Wewe ulikuwemo mle chumbani na ukashuhudia kuwa pumzi zilikata wakati akishughulika???!!--- mdomo uliponza kichwa kikapigwa kwenzi.
 
Itakuwa COVID 19 tu ile tume ya mheshimiwa ikae na ule mwili kama kianzio cha utafiti , Tupigwe chanjo , nyungu au tuchokonolewe plus Lockdown?
 
RIP. Poleni sana wafiwa. Hakuna atakayeishi milele. Hata usipofanya ngono utakufa japo tujitahidi wanaume tutulie na wake zetu majumbani. Mke akikuona hali inabadilika hatokukimbia. Atatafuta namna ya kukusaidia.

Wanawake wa Miaka ile au wa Siku hizi?
 
ukiendekeza sana uasharati lazima mwishowe utadhalilika tu.

utajificha wee lkn mwishowe utafhalilika tu.
sasa atazikwa na Manissipaa au ndugu?
 
Dhambi ni mbaya sana, watu wamkimbilie Bwana Yesu awakoe na tamaa za kidunia ambazo lengo lake ni kuwapeleka wengi motoni
Ufunuo wa Yohana 21:8
Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
 
Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Temeke, Abdallah Mtimika na kuwa mazishi yake yatafanyika leo katika makaburi ya Tanita yaliyopo eneo la Kibonde Maji.

Mmoja wa wahudumu nyumba hiyo ya kulala wageni (jina lake linahifadhiwa) amesema diwani huyo alifika akiwa na gari wakiwa na msichana usiku wa kuamkia juzi na kuchukua moja ya chumba katika nyumba hiyo.

Amesema asubuhi baada ya kuamka wakati akifanya usafi ndipo alipoukuta ufunguo wa chumba alichokuwa amekichukua diwani huyo na msichana huyo ukiwa umetupwa chini ambapo alishituka na kwenda katika chumba hicho na kukuta kikiwa kimefungwa na kilipofunguliwa walimkuta diwani huyo akiwa amefariki lakini yule msichana waliyekuwa naye hayupo.

Muhudumu huyo amesema baada ya kuona tukio hilo walitoa taarifa polisi ambao walifika na baada ya kuwahoji waliuchukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

Chanzo: Nipashe Online

Hivi nyie Wazee Wetu ( Baba zetu ) kwanini mnaacha Kutulia Majumbani na Mama zetu hadi mnahangaika na ' Vibinti ' vidogo ambavyo hata Sisi Vijana wenu akina Generalist vinatutoa Jasho Vitandani ila huwa tunawaweza tu kwa Msaada wa Vumbi la Kongo?

Poleni sana wana CCM wote pamoja na Mwenyekiti Taifa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa Kumpoteza Kada huyu kutokana na Uhuni ( Umalaya ) wake huku akijua kabisa hana Pumzi za Kutosha za Kuwajibika Kibaiolojia Kitandani.

Wazee wazima mnaendekeza tu Uhuni!!
Samia siyo mwenyekiti wa ccm
 
Samia siyo mwenyekiti wa ccm

Najua bado hajawa kwakuwa Wanasubiria Uchaguzi wa Chama mwakani au wa Dharula ili azibe nafasi ya Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Je, kwa dhana hii na ikijulikana ' automatically ' tu kuwa Mwenyekiti Taifa CCM atakuwa Yeye akiitwa hivyo sasa ni Kosa / Dhambi?
 
Lakini tuseme ukweli tu: mademu siku hizi wameumbika sana, kiasi kwamba ukipiga bao unatamani hata ukate na robo kilo ya tako nalo ulile!
Yaan machine ikilala unatamani uiamshe lakini ndo vile tena hapo ndo mwanaume tulibambwa vinginevyo pangechimbika
 
Viagra itawaliza wengi, wizara ya afya toeni muongozo wa namna ya kutumia hizi dawa!! Wazee wenye presha na visukari watakwisha!!

Tatizo moja wanakula ujazo zaidi ya nguvu ya moyo .. bila kupima au ushauri wa dkt. 2. na pombe na Tatu Pia ufake wa dawa. Unaweza dhania 100 Kumbe 1500 . Shida Nini wazee. Hela umpe na ushujaaa Pia. Kafa Kazini.
 
Utakuja kisikia kwenye risala wanasema amekufa sababu ya changamoto za upumuaji CCM hawashindwi kitu.
 
Back
Top Bottom