City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
hatari sanaInawezekana alipiga viagra apate value for his money.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatari sanaInawezekana alipiga viagra apate value for his money.
Hahahaaaa.....!Kazi kweli kweli ya nini sasa! Nyinyi wazee wa ccm manaendeza sana uzinzi! Angalia sasa! Mnakufa kizembe zembe tu! Na wewe Mzee Mgaya ujichunge sana hapo Iringa! Taarifa zako zote ninazo.
Aha aha sio kila mfupa wa kula wazee! Mtavunjwa viuno uzeeni!
Mkuu labda anaona anachelewa kufa hivyo anatafuta kisababishi cha kifo.Nina Mzee Mmoja jirani yangu sasa anaitafuta miaka 80 ila ana Bajeti Maalum ya Kununua Dawa za Kuongeza nguvu za Kiume Wiki mbili nyuma alizimia Gesti ila tunaomjua tukamuwahi na Kumsaidia.
Hivi ninavyoandika aliniaga leo tokea Saa 5 Asubuhi kuwa ana Demu anaenda Kumgonga na hadi Saa 2 hii ya Usiku bado hajarudi Kijiweni Kwetu na taratibu tumeanza Kujigawa katika Kumsaka huku Mimi nikipewa Jukumu la Kupitia Mochwari kadhaa Kuulizia na wengine Kuulizia katika Nyumba za Kulala Wageni.
Mtu unakaribia miaka 80 lakini bado tu unataka Kukatikiwa Viuno na Vibinti vya miaka 21 hivi huku kama si kukitafuta Kifo kwa Makusudi ni nini?
Jamani Wazee tulieni acheni Umalaya!!!!
Jamhuri ya muungano Kazi inaendeleaKazi kweli kweli!
Mzee alitaka kupata kathreesome amasing
Viagra itawaliza wengi, wizara ya afya toeni muongozo wa namna ya kutumia hizi dawa!! Wazee wenye presha na visukari watakwisha!!
Afadhari ufie kiunoni kwa mkeo nyumbani.Allah atujaalie mwisho mwema..imagine kufia kiunoni doh.
Amepata alichotafuta na kuvuna alichopanda. Mizee mingine bwana. Totoz utawaweza wapi na pressure zako.Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Temeke, Abdallah Mtimika na kuwa mazishi yake yatafanyika leo katika makaburi ya Tanita yaliyopo eneo la Kibonde Maji.
Mmoja wa wahudumu nyumba hiyo ya kulala wageni (jina lake linahifadhiwa) amesema diwani huyo alifika akiwa na gari wakiwa na msichana usiku wa kuamkia juzi na kuchukua moja ya chumba katika nyumba hiyo.
Amesema asubuhi baada ya kuamka wakati akifanya usafi ndipo alipoukuta ufunguo wa chumba alichokuwa amekichukua diwani huyo na msichana huyo ukiwa umetupwa chini ambapo alishituka na kwenda katika chumba hicho na kukuta kikiwa kimefungwa na kilipofunguliwa walimkuta diwani huyo akiwa amefariki lakini yule msichana waliyekuwa naye hayupo.
Muhudumu huyo amesema baada ya kuona tukio hilo walitoa taarifa polisi ambao walifika na baada ya kuwahoji waliuchukua mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Chanzo: Nipashe Online
Hivi nyie Wazee Wetu ( Baba zetu ) kwanini mnaacha Kutulia Majumbani na Mama zetu hadi mnahangaika na ' Vibinti ' vidogo ambavyo hata Sisi Vijana wenu akina Generalist vinatutoa Jasho Vitandani ila huwa tunawaweza tu kwa Msaada wa Vumbi la Kongo?
Poleni sana wana CCM wote pamoja na Mwenyekiti Taifa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa Kumpoteza Kada huyu kutokana na Uhuni ( Umalaya ) wake huku akijua kabisa hana Pumzi za Kutosha za Kuwajibika Kibaiolojia Kitandani.
Wazee wazima mnaendekeza tu Uhuni!!
Hicho kijiwe hama...Nimeshazika Wazee wa Kijiweni Wanne.