Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Hey don't follow follow me without bcoz you can't me am another.Would you like some help improving your grammar?
Kweli mkuu anapoa sana kwenye uchanaji wake na isitoshe hayuko versatile coz habadiliki kwenye flows zake na uandishi... Pia hana punchlines zaidi ya tuvimaneno ambato ni meaninglessVocal haienei kwenye biti...Anakosa hasira za Emcee kutoka street...
Acha kumfananisha King GK na watoto wanaojitafuta na hawajajipata. GK ni legend, give him some respect
Ktk content na umakini Dizasta ni mnyamaaaaa. Skillz za ku flow na kubadilika badilika ni miongoni mwa sehemu anazotakiwa ku improve, kama ktk ngoma yq UNDERRATED amepooza mule.Huyo dogo flow zake za kichovu sana,
Kuna siku walimlinganisha na Langa nilikua sanaHiphop imekufa huyu dizasta enzi hiphop ipo juu angemjua nani
Anajiita king of UndergroundSema aina ya muziki aliouchagua Dizasta, kwa bongo una wafuasi wachache sana.
Hata kazi zake ukiangalia kwenye digital platforms nyingi number hazisomi vizuri na kwenye show ni ngumu kusikia jina lake.
GK alikuwa super star wa daraja la juu linaloelekeana na wasanii kama Prof Jay au Afande huku akilibeba kundi zima la East Coast kwa kutoa ngoma zinazobamba masikioni mwa wengi.
Binafsi nazielewa kazi kadhaa za D ila ameshindwa kuifikia hadhira kubwa.
Hitimisho, mshaurini D aboreshe sanaa yake iendane na mahitaji ya walaji walio wengi kuliko kuibakiza sanaa yake mafichoni.
Kwa hatua aliyonayo ni ndogo sana kiasi cha kumkosea heshima GK kwa kufananishwa na wachanga wanaotafuta kutoboa bila mafanikio licha ya kuwepo kwenye game kwa miaka kadhaa sasa.
Ngoma Kali kinomaTop shelf
Una pata ngoma za huyu jamaaNgoma Kali kinoma
Mimi ni shabiki wake pia.Una pata ngoma za huyu jamaa
Huu mstari nilitaka nianzishie uzi hapa mkuu..Mimi ni shabiki wake pia.
Hawaombi vocha maduu flan wa high class.
(Hii material ni Top Shelf)
Atayethubutu mlinganisha lyrical natural gifted na huyo dogo muandika hadhithi basi amekosa akiliKuna siku walimlinganisha na Langa nilikua sana
GK sio legend Bali ni msanii wa zamaniAcha kumfananisha King GK na watoto wanaojitafuta na hawajajipata. GK ni legend, give him some respect
“Hapa hawachezi hawa ma-much know, sieleweki mara wave mara particle. Tukimsaini sijui ata-change hata kidogo, weeeh kaa na pesa yako halafu nigee heshima yangu Broh!”Sema aina ya muziki aliouchagua Dizasta, kwa bongo una wafuasi wachache sana.
Hata kazi zake ukiangalia kwenye digital platforms nyingi number hazisomi vizuri na kwenye show ni ngumu kusikia jina lake.
GK alikuwa super star wa daraja la juu linaloelekeana na wasanii kama Prof Jay au Afande huku akilibeba kundi zima la East Coast kwa kutoa ngoma zinazobamba masikioni mwa wengi.
Binafsi nazielewa kazi kadhaa za D ila ameshindwa kuifikia hadhira kubwa.
Hitimisho, mshaurini D aboreshe sanaa yake iendane na mahitaji ya walaji walio wengi kuliko kuibakiza sanaa yake mafichoni.
Kwa hatua aliyonayo ni ndogo sana kiasi cha kumkosea heshima GK kwa kufananishwa na wachanga wanaotafuta kutoboa bila mafanikio licha ya kuwepo kwenye game kwa miaka kadhaa sasa.
Hahaha dizasta mnyama sana.“Hapa hawachezi hawa ma-much know, sieleweki mara wave mara particle. Tukimsaini sijui ata-change hata kidogo, weeeh kaa na pesa yako halafu nigee heshima yangu Broh!”
Dizasta vina - Top Shelf
Tuwasijilize prof na ngosha au unknown fella kutoka madongo kuinama ndani ndani huko?Atayethubutu mlinganisha lyrical natural gifted na huyo dogo muandika hadhithi basi amekosa akili