amando pascal
Member
- Sep 30, 2018
- 7
- 30
Ngoma kali
Kufunikwa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu jamaa wasanii wengi wanamuogopa kufanya nae collabo sijui wanahofia kufunikwa
Kwenye hii collabo ya fid nikki na dizasta Kuna watu watafutishwa sana verse [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kufunikwa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Fid atawaficha wote mfukoniKwenye hii collabo ya fid nikki na dizasta Kuna watu watafutishwa sana verse [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoma kali kama magu na samia hivi ila inakataa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila sio
Ndio msanii wa kwanza nina album zake zote 3Kwa wapenzi wa hiphop hivi mmepata na nafasi ya kusikiliza hii nyimbo mpya dizasta vina hatia V aisee kuna ubunifu mkubwa umetumika sana humo hata akifa leo nyimbo zake zitasikilzwa milele jamaa anajua sana. Vipi maoni yako mwana #JF #DIZASTAVINA #HATIA View attachment 2459885
Kama haiwashiki basi hawahusiki na haitowasaidia~ (One -Kivyovyote)Binafsi sijaona Kama dizasta n msanii mkali wa hip-hop Kama inavojaribu kutajwa humu.
Kwani Hana hit song ambayo imetoboa nje ya jamii ya wapenda hip-hop yaani kwa wale wasiokua mashabiki Lia Lia wa hip-hop...
Ngoma ambayo ilifanya vizuri kwenye platform mbalmbali Ni kanisa tu. Hizo zingine bado ziliishia kwetu tu wapenda hip-hop nazani Ni Muda Sasa ajitafute afanye muziki unaopenya kila angle...
Angalie kina Nikki mbishi, young killer, nash-mc, one hata stereo waliwezaje...
kuna hatia iv pia na shahidi zisikilizeHatia hii sijaisikia ngoja niitafute nimeskiliza zile za Mwanzo Hatia 1-3
Hatia hii sijaisikia ngoja niitafute nimeskiliza zile za Mwanzo Hatia 1-3