Dizasta vina - Hatia V

Dizasta vina - Hatia V

amando pascal

Member
Joined
Sep 30, 2018
Posts
7
Reaction score
30
Kwa wapenzi wa hiphop hivi mmepata na nafasi ya kusikiliza hii nyimbo mpya dizasta vina hatia V aisee kuna ubunifu mkubwa umetumika sana humo hata akifa leo nyimbo zake zitasikilzwa milele jamaa anajua sana. Vipi maoni yako mwana #JF #DIZASTAVINA #HATIA
IMG_1151.jpg
 
DIZATA VINA, NI MTU MBAD SANA, JAMAA ANAJUA MPAKA ANAJUA TENA
 
Hatia V. Bado nimeishia 4 ngoja nitarudi
 
Ngoma kali kama magu na samia hivi ila inakataa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila sio
 
Kwa wapenzi wa hiphop hivi mmepata na nafasi ya kusikiliza hii nyimbo mpya dizasta vina hatia V aisee kuna ubunifu mkubwa umetumika sana humo hata akifa leo nyimbo zake zitasikilzwa milele jamaa anajua sana. Vipi maoni yako mwana #JF #DIZASTAVINA #HATIA View attachment 2459885
Ndio msanii wa kwanza nina album zake zote 3
 
Binafsi sijaona Kama dizasta n msanii mkali wa hip-hop Kama inavojaribu kutajwa humu.
Kwani Hana hit song ambayo imetoboa nje ya jamii ya wapenda hip-hop yaani kwa wale wasiokua mashabiki Lia Lia wa hip-hop...
Ngoma ambayo ilifanya vizuri kwenye platform mbalmbali Ni kanisa tu. Hizo zingine bado ziliishia kwetu tu wapenda hip-hop nazani Ni Muda Sasa ajitafute afanye muziki unaopenya kila angle...
Angalie kina Nikki mbishi, young killer, nash-mc, one hata stereo waliwezaje...
 
Binafsi sijaona Kama dizasta n msanii mkali wa hip-hop Kama inavojaribu kutajwa humu.
Kwani Hana hit song ambayo imetoboa nje ya jamii ya wapenda hip-hop yaani kwa wale wasiokua mashabiki Lia Lia wa hip-hop...
Ngoma ambayo ilifanya vizuri kwenye platform mbalmbali Ni kanisa tu. Hizo zingine bado ziliishia kwetu tu wapenda hip-hop nazani Ni Muda Sasa ajitafute afanye muziki unaopenya kila angle...
Angalie kina Nikki mbishi, young killer, nash-mc, one hata stereo waliwezaje...
Kama haiwashiki basi hawahusiki na haitowasaidia~ (One -Kivyovyote)

Point yangu ni kwamba, kama mtu ni mdau wa hip hop hawezi kupitwa na ngoma yoyote ya huyu jamaa. Ukiona mtu anasubiri hit song basi huyo ni "Shabiki rukia rukia"/ "Shabiki waru waru".
 
Back
Top Bottom