Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hazina uhusiano wa kimaudhui.Hatia ya nne si alikufa
Kazingua kuleta ya v
Hebu Soma ulichoandika jibu lipo humo humo
hatia iv ni wimbo na nusu, stori vina na flow ilikua motoDizasta ni genius, ni Messi wa Rap.
Hatia V ni Masterpiece,
lakini kwa mtazamo wangu katika mfululizo wa hizi Hatia (Hatia 1-5), hatia 4 itabaki kuwa kali zaidi.
Hahah yule aliekufa ni John, huyu aliejiua humu ni father.Hatia ya nne si alikufa
Kazingua kuleta ya v
huyo John si alikua ni yeyeHahah yule aliekufa ni John, huyu aliejiua humu ni father.
Acha limkute alilolitaka.Ndugu yenu rapcha kayakanyaga
Amepewa shule [emoji23]Ndugu yenu rapcha kayakanyaga
sana, jamaa ni balaaaKwa wapenzi wa hiphop hivi mmepata na nafasi ya kusikiliza hii nyimbo mpya dizasta vina hatia V aisee kuna ubunifu mkubwa umetumika sana humo hata akifa leo nyimbo zake zitasikilzwa milele jamaa anajua sana. Vipi maoni yako mwana #JF #DIZASTAVINA #HATIA View attachment 2459885
Huyu ni Mcee kumbukaBinafsi sijaona Kama dizasta n msanii mkali wa hip-hop Kama inavojaribu kutajwa humu.
Kwani Hana hit song ambayo imetoboa nje ya jamii ya wapenda hip-hop yaani kwa wale wasiokua mashabiki Lia Lia wa hip-hop...
Ngoma ambayo ilifanya vizuri kwenye platform mbalmbali Ni kanisa tu. Hizo zingine bado ziliishia kwetu tu wapenda hip-hop nazani Ni Muda Sasa ajitafute afanye muziki unaopenya kila angle...
Angalie kina Nikki mbishi, young killer, nash-mc, one hata stereo waliwezaje...