we jamaa sijui umekula maharage ya wapi wewe
tatizo la watanzania kama nyie mnajiona mna elimu ila elimu yenu haijawakomboa
hivi unajua mtu akishakuwa BRAND ni lazima alipwe vizuri hata kama aliishia la saba? na ndio maana wasani, wanamichezo wanatengeneza pesa ndefu kuliko wewe mnyonga tai na miwani ya kisomi
na kwenye Music Industry haiangaliwi elimu mkubwa kinachoangaliwa ni uwezo, ufundi n.k
Niambie ni chuo gani kinatoa degree ya U DJ?
watanzania tuna safari ndefu sana
daah ad mafuvu hayupo tena eatv/fm!?
hawa clouds sio watu wazuri saanaa wanajua kufanya fitna!
Clouds nao wanahusikaje hapo?
Kafuta kwasabu watanzania niwajinga.
Kwa title ya mafuvu, kama angeandika tu kaondoka pale eatv yangeibuka maneno mengi sana, ikiwemo kusema kafukuzwa, ila kwakua yeye ndo kajiondokea na kuweka wazi yamoyoni anaonekana mbaya.
Simtetei mafuvu kuweka post ile, ila waTZ tupo kama wachawi.
Hivi mkuu huyu mafuvu ndie yule alokuwa anazunguka kwenye FIESTA na wasanii au nimemchanganya?
Hujui maDj siku hizi wanaelekezwa mpaka namna ya kumix? Mpk Playlist wanaandaliwa.
Ata hivyo awa East Africa lazima wanamatatizo haiwezekani watu wote hao wakimbie kirahisi rahisi hivyo, mishahara ya radios ni midogo pote tu hila wao hawana fair ndio maana wanashindwa kuretain watu.
Huko atakua tayari kwenda kipiga kaswida?
Ipp media mishahara kiduchu mno,usitishike na jina kubwa..
Just like what they did to millard Ayo,regina mwalekwa,and Mussa!!
Kesho utasema BBC ni wabaya...then utaulizwa BBC wanahusikaje hapo ? utasema, just like what they did to Charles Hilary, Regina Mziwanda, and Anold Kayanda.
we jamaa sijui umekula maharage ya wapi wewe
tatizo la watanzania kama nyie mnajiona mna elimu ila elimu yenu haijawakomboa
hivi unajua mtu akishakuwa BRAND ni lazima alipwe vizuri hata kama aliishia la saba? na ndio maana wasani, wanamichezo wanatengeneza pesa ndefu kuliko wewe mnyonga tai na miwani ya kisomi
na kwenye Music Industry haiangaliwi elimu mkubwa kinachoangaliwa ni uwezo, ufundi n.k
Niambie ni chuo gani kinatoa degree ya U DJ?
watanzania tuna safari ndefu sana
Namtakia kila la kheri lakini hii tabia ya kuwasema vibaya walio kuwa wana kuajiri si nzuri! waajiri wana kazi kubwa sana yani mtu akijiona maarufu kidogo basi anataka alipwe zaidi kuliko wengine wakati elimu hana..! Huyu bila EATV tusinge mfahamu kabisa na anatakiwa kujua hakuna wanapo lipa sana labda akajia ajiri!
Kama mlishindwa kukubaliana na waajiri wako hakuna sababu ya kuanza kuwasema vibaya unatakiwa kuondoka kwa Amani!
ni kweli huyu jamaa sasa ni R-Dj ndani ya 93.7 fm E?