Dj AD Mafuvu aacha kazi EATV / EA Radio

Dj AD Mafuvu aacha kazi EATV / EA Radio

we jamaa sijui umekula maharage ya wapi wewe

tatizo la watanzania kama nyie mnajiona mna elimu ila elimu yenu haijawakomboa

hivi unajua mtu akishakuwa BRAND ni lazima alipwe vizuri hata kama aliishia la saba? na ndio maana wasani, wanamichezo wanatengeneza pesa ndefu kuliko wewe mnyonga tai na miwani ya kisomi

na kwenye Music Industry haiangaliwi elimu mkubwa kinachoangaliwa ni uwezo, ufundi n.k

Niambie ni chuo gani kinatoa degree ya U DJ?

watanzania tuna safari ndefu sana

Kula like mkuu...umeongea point kinoooma
 
acha tubak na dj Mckay* ata yeye yuko vizur tu
 
ku-blame waajiri wako wa zamani si vyema hasa kama umeamua mwenyewe kuacha kazi unaweza kuwaambia fans wako "sipo tena kazini baada ya mkataba wangu kumalizika na kushindwa kufikia makubaliano juu ya mkataba mpya" simple tu kama hivyo basi una songa mbele na changamoto mpya.
 
Kafuta kwasabu watanzania niwajinga.
Kwa title ya mafuvu, kama angeandika tu kaondoka pale eatv yangeibuka maneno mengi sana, ikiwemo kusema kafukuzwa, ila kwakua yeye ndo kajiondokea na kuweka wazi yamoyoni anaonekana mbaya.

Simtetei mafuvu kuweka post ile, ila waTZ tupo kama wachawi.

Hivi mkuu huyu mafuvu ndie yule alokuwa anazunguka kwenye KTMA na wasanii au nimemchanganya?
 
mafuvuu beeiiby!! Jambaz sharobaloo kale shavu sehem nyngnee mzaz
 
Hujui maDj siku hizi wanaelekezwa mpaka namna ya kumix? Mpk Playlist wanaandaliwa.


Ata hivyo awa East Africa lazima wanamatatizo haiwezekani watu wote hao wakimbie kirahisi rahisi hivyo, mishahara ya radios ni midogo pote tu hila wao hawana fair ndio maana wanashindwa kuretain watu.

Ipp media mishahara kiduchu mno,usitishike na jina kubwa..
 
Shukrani ya punda.....umemsahau ndugu yako musa uswazi aliyekupeleka hapo Eatv

Adolf Mawazo. . hacha jeuri wewe, ndio ni jitihada zako ila bila hao jamaa ulikuwa umeshaferi maisha at least now una Saloon kubwa,gari na Music system..
Rudi nyuma kumbuka the time wen you played for free ulivorudi toka Arusha kuresiti form four with failure result.... cha msingi wewe waage vizuri ili uko mbele mungu azidi kukujalia...bravo braza
 
Just like what they did to millard Ayo,regina mwalekwa,and Mussa!!

Kesho utasema BBC ni wabaya...then utaulizwa BBC wanahusikaje hapo ? utasema, just like what they did to Charles Hilary, Regina Mziwanda, and Anold Kayanda.
 
Kesho utasema BBC ni wabaya...then utaulizwa BBC wanahusikaje hapo ? utasema, just like what they did to Charles Hilary, Regina Mziwanda, and Anold Kayanda.

Ha ha ha haaa!!
 
ni kweli huyu jamaa sasa ni R-Dj ndani ya 93.7 fm E?
 
we jamaa sijui umekula maharage ya wapi wewe

tatizo la watanzania kama nyie mnajiona mna elimu ila elimu yenu haijawakomboa

hivi unajua mtu akishakuwa BRAND ni lazima alipwe vizuri hata kama aliishia la saba? na ndio maana wasani, wanamichezo wanatengeneza pesa ndefu kuliko wewe mnyonga tai na miwani ya kisomi

na kwenye Music Industry haiangaliwi elimu mkubwa kinachoangaliwa ni uwezo, ufundi n.k

Niambie ni chuo gani kinatoa degree ya U DJ?

watanzania tuna safari ndefu sana

Na Tanzania hua hawalipi kwa elimu uliyonayo nchi zilizoendelea ndo hua zinafanya hivyo
 
Namtakia kila la kheri lakini hii tabia ya kuwasema vibaya walio kuwa wana kuajiri si nzuri! waajiri wana kazi kubwa sana yani mtu akijiona maarufu kidogo basi anataka alipwe zaidi kuliko wengine wakati elimu hana..! Huyu bila EATV tusinge mfahamu kabisa na anatakiwa kujua hakuna wanapo lipa sana labda akajia ajiri!

Kama mlishindwa kukubaliana na waajiri wako hakuna sababu ya kuanza kuwasema vibaya unatakiwa kuondoka kwa Amani!

Nakubaliana na wewe kuacha kazi sehemu na kuwakejeli waliokua wamekuajiri sio jambo zuri hata kidogo

Lakini pia sikubaliani na wewe kumshambulia mafuvu kujiona maarufu wakati eat radio ndio wamemtoa na kuwa anahitaji mshahara mkubwa wakati hana elimu

Mafuvu kupatia umaarufu Eatv hakumfanyi kuwa mtumwa asiyetambua thamani yake, wakati anatengeneza jina eatv nao walikua wanatengeneza kupitia yeye pia, so ni haki yake kuona malipo hayaendani na alichojitengeneza(brand) wakati anafanya kazi.
Mwisho hizi habari za hana elimu wakati mwingine tuziangalie kwa mapana yake na haswa kwenya nyanja ya burudani na michezo sababu moja ya watu wanaoongoza kwa vipato vikubwa kabisa bila kwenda shule ni watu wa nyanja hii
 
Back
Top Bottom