zuuth
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 377
- 142
we jamaa sijui umekula maharage ya wapi wewe
tatizo la watanzania kama nyie mnajiona mna elimu ila elimu yenu haijawakomboa
hivi unajua mtu akishakuwa BRAND ni lazima alipwe vizuri hata kama aliishia la saba? na ndio maana wasani, wanamichezo wanatengeneza pesa ndefu kuliko wewe mnyonga tai na miwani ya kisomi
na kwenye Music Industry haiangaliwi elimu mkubwa kinachoangaliwa ni uwezo, ufundi n.k
Niambie ni chuo gani kinatoa degree ya U DJ?
watanzania tuna safari ndefu sana
Kula like mkuu...umeongea point kinoooma