Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Jibu kiufasaha kwa vigezoShida yetu hatupend kuambiwa ukweli, huwezi kuwa mahiri kote fetty ni mzuri mno kwenye mambo ya burudani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu kiufasaha kwa vigezoShida yetu hatupend kuambiwa ukweli, huwezi kuwa mahiri kote fetty ni mzuri mno kwenye mambo ya burudani
Twende kwa vigezo kuhusu tasnia na maudhui kosoa kwa ueledi weka dimensions/indicators.Cha msingi tunachoangalia ni content kichwani na kipindi husika hayo mengine ni yake….
Mfano tumchukue Adam Xxl tumuweke PB unajua kitakachotokea Ndugu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hujajibu kupwaya sio jibu unaona ukosoaji ulivomgumu, maarifa ni muhimu sana Multitasking doesn't with perfection of 100% , dual tasking adds value to employers and those who need her the severally we are happy multiple roles on air ili tufaidi zaidi and She is hot hot and Super, CMG siwapendi but I love fetty so namsikiliza yeye akimaliza naachana na hio virus ya bongo flavourKupwaya compare na standard yake mwenywe, yaan kuna level ambayo amefikia tulitamani kuona na huku akifanya
Tofauti yake na Babra pale ni ipi?.power braekfast nafikiri aimfai ni kipindi kinachotaka utulivu na mtu mwenye kujua vitu vingi well informed ni show ambayo mtangazaji anatakiwa kuwa mtulivu
Kwa mina na millard mbonasikuona kasoro au walikuwa very emotional sanafatuma yuko vizuri sana sana sana sana .... hakika anaupiga mwingi ..... nakumbuka clouds walikosea kumuweka mina ally na millard ayo wakaligundua hilo wakamtoa yule binti
Rudia tena hatujakusikiaDJ Fetty ni nani hapa nchini?
Ana umuhimu gani kwenye Royal tour?
Faida yake ni ipi kwa Taifa?