kumfananisha DJ JD na mkongwe BONNY LUV sio tu kumshusha hadhi BONNY bali unaonyesha na wewe umejua madisco juzi ingawa kwa maneno yenu mnaona kama mmeujua muziki au disko siku nyingi.....hao watu wako ligi tofauti kabisa...BONNY LUV yuko level ingine....kwa kizazi chenu cha disko bilicanas,mambo club DJ JD ni mkali ila ukizungumzia ukongwe na kujua muziki DJ JD ni rookie.....na wengi mnaonyesha hamumjui BONNY LUV mngemjua msingemfananisha na DJ JD.
Tukiacha ukongwe (Bonny ni mkongwe zaidi) kila mtu anamchango mkubwa katika tasnia ya burudani Tanzania.Lakini tukizungumzia ubora wa DJ kila mtu ana test yake.
Binafsi nimecheza madisko yao toka kipindi hicho lakini DJ JD still is my number one DJ ever hapa Bongo.Kujua muziki sijui unataka kumaanisha nini maana ukisema DJ JD ni rookie hapo ndio naanza kuhofu kama utachangia fairly kwenye hili.DJ JD anajua muziki na anaheshimika kwa hilo.
Bonny Luv vs DJ JD ni ubishi wa longtime lakini hatuwatendei haki maana kila mtu ametamba kwa wakati wake lakini kipindi cha nyuma wote wakiwa very active kwenye game DJ JD ndio alikuwa anakimbiza Bongo nzima na kuinfluence Madj kibao!