Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Ila nowdays naona yuko poa na watu wa mawingu tofauti na kipindi kile paka na panya! Msanii akitaja jina lake kwenye nyimbo basi Clouds hawaipigi!
True wanashirikiana nae vizuri kwani sasa hata matangazo ya isumba lounge kwa maana ya ku-support nayasikia sana hapo peoples Station!