DJ khaled ni producer au songwriter?

DJ khaled ni producer au songwriter?

ni dj

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Anachofanya dh khaleed nikuwapa idea wasanii, pamoja na mdundo ila mwisho wa siku ngoma inakuwa mali yake, unaambiwa jamaa ana sikio hatari akikuta mdundo studio anakuambia hapa mlete linex na nick minaj, so jamaaa ni janjaa janjaaa, wala hatungi nyimbo, wenzetu wanaelewa maana ya hati miliki.

driller⛏⚒
 
Anachofanya dh khaleed nikuwapa idea wasanii, pamoja na mdundo ila mwisho wa siku ngoma inakuwa mali yake, unaambiwa jamaa ana sikio hatari akikuta mdundo studio anakuambia hapa mlete linex na nick minaj, so jamaaa ni janjaa janjaaa, wala hatungi nyimbo, wenzetu wanaelewa maana ya hati miliki.

driller⛏⚒
[emoji3][emoji3][emoji3]Oh
Ndomana Linex akasema kapigiwa simu na Dj Khaled?haha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa ngoma zake Kali sana, pamoja na ngoma nyingi alizotoa, hakuna anayoimba lakin huwa zinauza mno. Ametoa juzi "I'm the one", baada ya muda mfupi katoa "wild thoughts" akiwa na Rihanna. Wenzangu, huyu DJ khaled kulikoni, ni producer na songwriter? Mtu yeyote aandike nyimbo anayoipenda kutoka kwake tuzifahamu zote.

Post sent using JamiiForums mobile app
Am the one Kali.
Hizo nyimbo zote ni album alotoa juz juz inaitwa Grateful
Huyu jamaa ni song writer &producer
 
Back
Top Bottom