Dj Mafuvu rasmi CMG..?

Dj Mafuvu rasmi CMG..?

mayowela

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,753
Dj Mafuvu the tantable master, Nimemsikia leo kuanzia alfajiri saa 11 akiamsha kwa ngoma kali, ila nilimsikiliza awali kama majuma kadhaa yaliyopita kwenye XXL, Nikajiuliza ni shamra shamra tu za Fiesta au kuna lingine

Siku kadhaa mbeleni nikasoma Ukurasa wako wa IG ukilalamika kufanyiwa figisu na baadhi ya Djs wa Pale CMG kuwa wanakubania fursa ili usisajiliwe, nilitafakari saaana na ikanipa ugumu wakuamini na sikuamini kama wale Djs wangekufanyia figisu maana wengi wao walisajiliwa na bila kushikwa mkono wasingekuwa pale.

Ninachoamini unabase kubwa sana ya Mashabiki ikiwepo hata mimi na nilikuwa namis sana mikato, mikuno na playlist yako, Nimefurahishwa sana kukusikia leo nakuona kuwa ni Usajili rasmi

Nashindwa kuelewa media ile Isiyoboa Isiyopoa mlishindwana au tayari usajili ulikuwa umefungwa. Kwa sasa uko sehemu salama na Umeongeza Idadi kubwaaaa saana ya Mashabiki wako kukusikiliza. Gooo gooo Fuvu

Mafuvu Bae, Dj AD aka Mafuvu bae, The Tantablemaster
 
Mimi namkubali Fuvu hata asiposajiliwa na hiyo redio yenu
 
DJs wa mawingu wanamgwaya jamaa,baada ya lile tetesi la kufanyiwa figusu Leo ndo walimwita tena ili wapate feedback ya mashabiki ndo wamsajili .
Kumbuka baada ya kupewa nafasi ya kupiga XXL mashabiki walifurahia saana.
 
DJs wa mawingu wanamgwaya jamaa,baada ya lile tetesi la kufanyiwa figusu Leo ndo walimwita tena ili wapate feedback ya mashabiki ndo wamsajili .
Kumbuka baada ya kupewa nafasi ya kupiga XXL mashabiki walifurahia saana.
aaalllaa kwa hiyo leo walikuwa wanataka waone mrejesho, sasa nahisi machine yakusomea meseji ilijam kabisa
 
Ukikubalika umekubalika tu..ila huyu jamaa ni Dj no moja kwa music huu wa kisasa..Playlist zake nzuri sana
 
ule waraka alioupost IG ilikuwa ni tension tu ama kick kwaajili ya kiwajaza upepo watu " waweze kuifuatilia zaidi clouds na tamasha lao la Fiesta ... ila niukweli uliowazi zaidi kwamba MAFUVU hana mpinzani Tz .. jamaa anajua mpaka kero " napenda jinsi anavyo hype huku ana cheza ngoma matata
 
Ila nasikitika sana cluods fm wameenda kuizima nyota ya kicheko mtata tangu atoke pale e.fm ameshuka
 
Back
Top Bottom