Dj Majizo, Muasisi wa muziki wa Mchiriku, Mnanda, Singeli redioni!

Umesahau jina moja ................MNANDA....................
 
Ukiandika kwamba huyu DJ ni muasisi wa muziki wa mnanda redioni, unakuwa umempa hadhi kwamba yeye ndiye aliyeanzisha kupiga muziki huu redioni, kitu ambacho si kweli.

Hata Redio Tumaini washapiga mnanda miaka ya tisini.

Labda haukukubalika tu.
 
Napenda unavyochumaga mchicha tembeleeee

Asante Snura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…