Dj Majizo, Muasisi wa muziki wa Mchiriku, Mnanda, Singeli redioni!

Ila jichanganye siku uingie kwenye show ya singeli, utajuta kuzaliwa, napenda sana kusikiliza nyimbo zao na nilizipenda bila kupenda, huu mziko ni reflection ya maisha ya watoto wa maskani, wahuni na walioshindikana
 
...teh teh teh...mbagala umeme unakatika kuliko Snura!
(watu wanavuta bangi,moshi kwenye makalio!!)
 
Tune EFM kuanzia saa 2 hadi saa 5 usiku usikilize Genge..Na Kicheko..Ni Singeli kwa kwenda mbele na Kali za Kitambo..

Pia Sports HQ ya asubuhi ni Singeli kwa kwenda mbele

Muziki unaongea...
Naomba frequency mkuu
 
Daa nautafuta huu wimbo!
 
Naona kama kawaida wachawi hawakosekani kwenye hii mada, nawaita wenye wivu wa transgender (wivu mbaya sana huu).
Kibaya zaidi ni wanawake.
Kamsalimie rais wetu.
Nashangaa sijui kwanini watu wanachukia tukimsiifu Majizzo?
 
Nashangaa sijui kwanini watu wanachukia tukimsiifu Majizzo?
ndio tabia ya watu fulani fulani hapa JF, wana tabia ya kichawi sana, hawataki mtu asifiwe kwa mazuri yake.
Mtoa mada ameeleza ukweli na unaonekana kwa kila mwenye macho na kusikika kwa kila mwenye masikio, lakini mtu anakuja anatoa povu tuu! Dah!
 
Nakataa hadi Mwisho,Majizo hawezi kumiliki E-FM labda yeye ni GALASA wamiliki wapo nyuma,Kwa majizo alivyo hata fedha ya kupanga tu pale K-NET house hawezi lipa.
Mtoa mada aliongelea mada au ubunifu? Punguza wivu, ona na dada yako anavyosema hapa chini

Siongelei umiliki. Naongelea ubunifu. Huyo Majizzo mwenyewe radio hiyo siyo yake
wivu wa namna hii ni mbaya sana Jane, jirekebishe ungali kijana
Huyu kutwa kukimbizana na kina Lulu Insta halafu huo ubunifu atautoa wapi? It's only a matter of time before we see his radio station go down the drains. Huwezi ukaendesha biashara ya radio kwa uswahiliswahili. You got to have the needed talent.
Kwa hiyo hapa tatizo sio ubunifu, ni kwa vile tu Majizo kamega kwa Lulu na sio kwako, ila umezunguka tu!
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Mashabiki wengi wa singeli ni wahuni wa mtaani wavuta bangi na wabwia unga.
Majizzo naona kaamua kuwapa shavu "wateja wake" as per mange's dot dot.....
You are one arrogant and uncultured swine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…