Dj Majizo, Muasisi wa muziki wa Mchiriku, Mnanda, Singeli redioni!

Naomba frequency mkuu
Kwa Dar, Pwani na Bagamoyo ni 93.7 FM..

Pia waweza kuisikiliza kwenye simu/laptop ama PC kupitia Tunein Radio...

Na kama una king'amuzi cha Azam TV ukiweka sehemu ya Radio EFM ni ya tatu baada ya UFM na Clouds FM...
 
Mi natafuta nyimbo za Lupozi au Juma Mpogo.
 
Daa nautafuta huu wimbo!
Duh!sijui utaupataje mimi nimevuta kumbukumbu na kutelemsha hizo lyrics kiduchu ilikuwa sio mchezo wakuitwa Atomic au topaz hao
Kuna nyingine wanakwambia
Tulikuwa tumekaa maskani
Maskani famagusta
Mara washkaj wanatuambia
Kicheko katutoka
Sie yeye peke yake.
Nyingine ilikuwa
Atakufanyia hila
Na rumande akuweke
Uijutie duniaaaa
Kila shetani na mbuyu wake.
Duh!zamani hiyo.
 


Mi natafuta nyimbo za Juma Mpogo, mtandoni sijazipata. Labda mpaka nije huko Dar mwezi December
 
Kwa Dar, Pwani na Bagamoyo ni 93.7 FM..

Pia waweza kuisikiliza kwenye simu/laptop ama PC kupitia Tunein Radio...

Na kama una king'amuzi cha Azam TV ukiweka sehemu ya Radio EFM ni ya tatu baada ya UFM na Clouds FM...
TuneIn ina android version yake mkuu?
 
Hapa naskiliza mchiriku
 
Huo wimbo ninao,kuna mtu alinipa nyimbo nyingi sana za michiriku
 
MKUU Kama uko Dar ningekupa tu,maana ni nyingi sana


Hapana niko mbali sana ndio maana nazitafuta kwa njia ya mtandao. Ningekuwa Dar ningeshazipata, lakini kuja huko mpaka December.
 
Mataluma huyo cjui kaishia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…