Kibundi wa getto
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 455
- 877
Well..hivi mafuvu yuko wapi nowdays?Wakuu, yule dj no 1 in town amehamia rasmi Efm radio na E tv akiachana na Eatv pamoja na radio.
Hii ni habari mbaya kwa wale wa Club next door Masaki bila kusahau Jangwani Sea breeze.
Alikua anapiga kazi sehemu 3,lakini sasa Majizzo kamchukua na kumpa Mpunga mrefu ili aachane na deiwaka za Clubs
Aliziba vizuri pengo la dj Mafuvu, lakini sasa kaondoka, kazi kwenu Eatv
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Dj d ommy huyo n wa cloudsKumbe Dj Ommy ni tofauti na Dj D. Ommy
Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
Regina mwalekwa ndo aliwafunguliaEATV ni kiwanda..