Dj Ommy crazy ahamia Efm

Kibundi wa getto

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
455
Reaction score
877
Wakuu, yule dj no 1 in town amehamia rasmi Efm radio na E tv akiachana na Eatv pamoja na radio.
Hii ni habari mbaya kwa wale wa Club next door Masaki bila kusahau Jangwani Sea breeze.

Alikua anapiga kazi sehemu 3,lakini sasa Majizzo kamchukua na kumpa Mpunga mrefu ili aachane na deiwaka za Clubs

Aliziba vizuri pengo la dj Mafuvu, lakini sasa kaondoka, kazi kwenu Eatv

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
East africa kuna nn maana dj sinyorita nae alitimua,ommy nae aaaaggghhhh
 
Well..hivi mafuvu yuko wapi nowdays?

Sent from my SM-A800I using JamiiForums mobile app
 
Mafuvu nae yuko wap??

Sent from my DP7CPRO using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…