Kibundi wa getto
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 455
- 877
Wakuu, yule dj no 1 in town amehamia rasmi Efm radio na E tv akiachana na Eatv pamoja na radio.
Hii ni habari mbaya kwa wale wa Club next door Masaki bila kusahau Jangwani Sea breeze.
Alikua anapiga kazi sehemu 3,lakini sasa Majizzo kamchukua na kumpa Mpunga mrefu ili aachane na deiwaka za Clubs
Aliziba vizuri pengo la dj Mafuvu, lakini sasa kaondoka, kazi kwenu Eatv
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Hii ni habari mbaya kwa wale wa Club next door Masaki bila kusahau Jangwani Sea breeze.
Alikua anapiga kazi sehemu 3,lakini sasa Majizzo kamchukua na kumpa Mpunga mrefu ili aachane na deiwaka za Clubs
Aliziba vizuri pengo la dj Mafuvu, lakini sasa kaondoka, kazi kwenu Eatv
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app