DJ Rommy Jones kwenye kashfa ya ubakaji Sweden

DJ Rommy Jones kwenye kashfa ya ubakaji Sweden

Ujue ishu hii mimi baadaye nilikuja kugundua kwamba kuna namna ambayo Debora alikuwa akitengeneza mazingira ya kutafuta pesa kwani sheria ya Sweden siku zote ukilala na mwanamke bila ridhaa yake akishitaki unatuhumiwa kuwa umebaka na yeye analipwa kama dola elfu kumi na mbili (zaidi ya Sh. milioni 24 za Kitanzania)".

“Hata kama ni mkeo, ukifanya naye tendo la ndoa bila yeye kuridhia na akashitaki, basi wewe utakuwa umebaka na sheria inakufunga huku yeye akilipwa kiasi hicho cha fedha".

“Kilichotokea kwa Rommy Jones ni dhahiri kabisa kuwa Debora alitaka kujipatia pesa kwa njia hiyo kwani baada ya kuanza kung’aka kuwa amebakwa, mimi nilimtafuta na kumuomba msamaha maana Rommy Jones hakujua kama sheria ya huko iko hivyo na isitoshe wote walikuwa wamelewa.
“Pamoja na msamaha, Debora aliendelea kuomba afidiwe dola elfu kumi na mbili, mimi nikamwambia nimpatie dola elfu sita lakini aligoma na kutaka hiyo hivyo tukashindwa kuafikiana."
Aisee.....hii WCB inahitaji watu wenye akili....Ukimsoma huyu jamaa anakubali Rommy 'kabaka' ila alikuwa hajui sheria za wenzetu. Na kaenda mbali zaidi kusema walikuwa tayari kulipa $6000 lakini mdai alitaka $12,000!

Sikieni Watanzania wenzangu,huko ughaibuni demu akilewa ukampitia ujue 'umebaka'....demu kaja ghetto kwako 'ukambananisha' ili ugonge akikwambia NO wewe ukaendelea ujue 'umebaka'
 
Rommy ha ha ha kwa kupenda mteremko hajambo huyu nae ganda la ndizi tu siku nyingine atabakwa yeye
 
Labda ana kapepo kapenda ma-star! Na watu kama hao, wapo sana hata hapa TZ...
I can understand kupenda ma-Star lakini sio kwa style hii yakuaharibu heshima ya watu na wakati ulikua unashoboka mwenyewe..
 
Ni mtoto hadi abakwe....vidada vingine bhana a alishaona fursa ya pesa akaamua atumie mbinu za kutengeneza mazingira ya kudai kabakwa na kudai pesa......na kawanunulia vinywaji.....af walikuw Wanawasiliana tngu zamani.......sheria za huko bhana.....
 
Back
Top Bottom