miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Na wanaume wa bongo mlivyo wabakaji aisee kasource kazuri kahelaHahahahahaaaaa, itabid tuwe wapole maana hapo jamaa anasema atakama n mke wako wa ndoa ukimfanya bila ridhaa yako akienda kukushtak unampa chake
Labda mkamate malofa mie nitakuwa ninategesha camera ya siri chumban hili tukio lote liwe recorded live. Vinginevyo ninakupa karatasi usign kabisa umekubali kubanduliwa na mie kwa hiari yakoHii sheria ije tz basi
Ha ha ha umetisha mkuuLabda mkamate malofa mie nitakuwa ninategesha camera ya siri chumban hili tukio lote liwe recorded live. Vinginevyo ninakupa karatasi usign kabisa umekubali kubanduliwa na mie kwa hiari yako
Aisee.....hii WCB inahitaji watu wenye akili....Ukimsoma huyu jamaa anakubali Rommy 'kabaka' ila alikuwa hajui sheria za wenzetu. Na kaenda mbali zaidi kusema walikuwa tayari kulipa $6000 lakini mdai alitaka $12,000!Ujue ishu hii mimi baadaye nilikuja kugundua kwamba kuna namna ambayo Debora alikuwa akitengeneza mazingira ya kutafuta pesa kwani sheria ya Sweden siku zote ukilala na mwanamke bila ridhaa yake akishitaki unatuhumiwa kuwa umebaka na yeye analipwa kama dola elfu kumi na mbili (zaidi ya Sh. milioni 24 za Kitanzania)".
“Hata kama ni mkeo, ukifanya naye tendo la ndoa bila yeye kuridhia na akashitaki, basi wewe utakuwa umebaka na sheria inakufunga huku yeye akilipwa kiasi hicho cha fedha".
“Kilichotokea kwa Rommy Jones ni dhahiri kabisa kuwa Debora alitaka kujipatia pesa kwa njia hiyo kwani baada ya kuanza kung’aka kuwa amebakwa, mimi nilimtafuta na kumuomba msamaha maana Rommy Jones hakujua kama sheria ya huko iko hivyo na isitoshe wote walikuwa wamelewa.
“Pamoja na msamaha, Debora aliendelea kuomba afidiwe dola elfu kumi na mbili, mimi nikamwambia nimpatie dola elfu sita lakini aligoma na kutaka hiyo hivyo tukashindwa kuafikiana."
hila watu ni wanyama unamfanya dili mtz mwenzake ili upate pesa,tena mko ugeniniIje tu nipate hela
Kufa kufaanahila watu ni wanyama unamfanya dili mtz mwenzake ili upate pesa,tena mko ugenini
Hazitoshi hizo kununua LandroverTatizo La Wadada Wa Kitz! Mtu Anaenda Kuish Mbel Kutegemea Hela Za Madili! Csterz Punguzen Slope! 24M Bei Ya Landrover Discovery.
Labda ana kapepo kapenda ma-star! Na watu kama hao, wapo sana hata hapa TZ...Angetafuta Kiki kwa njia nyengine lakini kwa style hiyo hailipi hata kidogo..
I can understand kupenda ma-Star lakini sio kwa style hii yakuaharibu heshima ya watu na wakati ulikua unashoboka mwenyewe..Labda ana kapepo kapenda ma-star! Na watu kama hao, wapo sana hata hapa TZ...