GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wivuuuuuuuuuuuuuu......Gusa Achia hadi Vyurani Mafurikoni Kariakoo na Ilala. Wivuuuuuuuu......wanaona Wivuuuuuuu.Network imerudi
Wivuuuuuuuuuuuuuu......Gusa Achia hadi Vyurani Mafurikoni Kariakoo na Ilala. Wivuuuuuuuu......wanaona Wivuuuuuuu.Mnatusengenya sana nyinyi jamaa!, uzuri tutakutana na sisi tutamuambia dj atupigie wimbo wetu
Hakuna matata.Wivuuuuuuuuuuuuuu......Gusa Achia hadi Vyurani Mafurikoni Kariakoo na Ilala. Wivuuuuuuuu......wanaona Wivuuuuuuu.
Gusa, achia, rudi home kumla kolo 7Wivuuuuuuuuuuuuuu......Gusa Achia hadi Vyurani Mafurikoni Kariakoo na Ilala. Wivuuuuuuuu......wanaona Wivuuuuuuu.
Halafu nyie watu wa ajabu Sana. Lini utopwinyo wamewahi kuifunga Simba goli zaidi ya 5?Gusa, achia, rudi home kumla kolo 7
Wivuuuuuuuuuuuuuu......Gusa Achia hadi Vyurani Mafurikoni Kariakoo na Ilala. Wivuuuuuuuu......wanaona Wivuuuuuuu.Gusa, achia, rudi home kumla kolo 7
Hivi umeelewa kweli hapo niliposema RUDI home? Ni kwamba tunarudi toka CCL kuja home kumla kolo goli 7 hiyo tarehe 8 MarchHalafu nyie watu wa ajabu Sana. Lini utopwinyo wamewahi kuifunga Simba goli zaidi ya 5?
Hizo saba umezitoa wapi?
Nitafurahi sana kwani kwa Kipindi hiki huo Wimbo unavutia sana Kuuimba hasa ukizingatia anayeona Wivu baada ya Wiki Moja na Nusu ijayo atakuwa Mkoani NBC Premier League halafu yule Mkali wa International Games and Competitions akiwa zake ama Afrika Kusini au Ivory Coast akiwa busy Kuwatafutia nafasi zingine Wachovu wengine Watatu kutoka Tanzania kwa Msimu ujao wa Mashindano ya CAFCL na CAFCC.
Wivuuuuuuu.....wanaona Wivuuuuuuu.....Wivuuuuuuu....wamerudi Nyumbani Wivuuuuuu Gusa Achia hadi Vyurani.......
Kumbe upo kwenye maombi😀😆😃Hivi umeelewa kweli hapo niliposema RUDI home? Ni kwamba tunarudi toka CCL kuja home kumla kolo goli 7 hiyo tarehe 8 March
Mi ni mwanachi ila nimecheka 😂Kafa paka Kazikwa chura
Kituo kinachofuata, utawekewa chikichiki nyingi sana..!!DJ angusha goma la WIVUUU ila usifanye ile chiki-chikichi maana huwa inaniumiza masikiooo
DJ mochizo utawauwa😄😄. Hama kawimbo kanachekesha❤️Mi ni mwanachi ila nimecheka 😂