Djigui anamaliza mwaka 2022 akiwa bora zaidi ya Manula

Vontec

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2020
Posts
245
Reaction score
386
Djigui Diarra anarejea kileleni kwa cleansheets kwa mara ya kwanza msimu huu.

[emoji3544]Djigui Diarra (Yanga Sc) Michezo 16
Cleansheet 10

[emoji3544]Aishi Manula (Simba Sc) Michezo 18
Cleansheet 10

[emoji3544]Ali Ahamada (Azam Fc) Michezo 15
Cleansheet 7

[emoji772] Djigui Diarra anakaa juu kutokana na idadi ya mechi alizocheza Kuwa Chache.

Credits IG: spotika24
View attachment 2464723
 
Kweli wenye akili ni wawili aliyecheza mechi 18 na aliyecheza mechi 16 wote Wana clean sheet sawa Bora ni aliyecheza mechi chache
Mantiki iliyotumika:

Kwakua wametight Djigui Diarra yupo juu zaidi ya Manula.

Kwa maana kama Djigui Diarra angecheza pia izo mechi (2) sawa na Manula angekua na advantage chance ya kuongeza cleansheet mbili zaidi.
 
Kweli wenye akili ni wawili aliyecheza mechi 18 na aliyecheza mechi 16 wote Wana clean sheet sawa Bora ni aliyecheza mechi chache
Ni sahahi mkuu

Ukitaka kujua kuwa jamaa yuko sahihi iweke katika asilimia (percentage, %) kwa kuchukua idadi ya clean sheets gawanya kwa idadi ya mechi alizocheza then zidisha kwa 100%

Diarra (10/16)x100% = 62.5%

Manula (10/18)x100% = 55.6%

Hivyo Diarra ankuwa juu ya Manula
 
ni bonge la kipa

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Katukana watu sasa anaona aibu yeye. Haya arudi hapa mkuu rodrick alexander
 
Rage alivowaita mbumbumbu hakukosea maana vichwani mpo weupe sana
Nyinyi uto sijui mnafikiri Kwa kutumia nini? Huo ubora mnaompa kipa wenu ni Kwa kutumia takwimu za ku assume na sio fact, hivyo msikaze mishingo yenu. Mnasema ana chance ya kuongeza clean sheet akifikisha idadi ya mechi Sawa na Manula. Lakini je hamjui kuwa pia ana chance ya kutoongeza clean sheet hivyo wanaweza kufanana idadi ya mechi na clean sheet.
 
Kama mwenyekiti wa klabu Yako alikuita mbumbumbu naomba usini quote maana kichwani mwako kutakuwa ni kweupe sana
 
Nani anaruhusu Hawa vichaa wawe kwenye hili jukwaa? Kama akili zetu ziko hivyo Basi Mungu atashindwa hata kutusaidia. Logic simple hivyo ya chekechea bado mtu anamaliza bundle lake na kukaza msuli wa matako kubisha wakati ni arthemitic fact.
Sasa makasiriko ya Nini ndugu mchangia mada !?

Na ipo wazi kabisa wote Wana cleansheets sawa ila mmoja anamecheza game chache zaidi ya mwenzake.

Yupi yupo vizuri interms of ranking!?

Mbona ni jambo jepesi tuh kung'amua!!?

Tatizo mnapofushwa na ushabiki "Mandazi" wenu kutanguliza mbele mahaba badala ya kung'amua mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…