Djigui anamaliza mwaka 2022 akiwa bora zaidi ya Manula

Ni sahihi mechi mbili kapigwa goli TANO na
mchezaji mmoja kwa voice ya Sabuni

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Yeah..ila inaweza kichangiwa zaidi na walinzi kuliko goal keeper..kuna mda unasikiaga kipa anasoma gazeti

Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
Kabisa,wengi wanalipinga hilo suala...ubora wa kipa upo kwenye saves anazofanya na sio cleansheet......wajitafakari,
Naweza kusema katika mechi ya Simba na Prisons kipa Hussein Abel alikuwa bora kuliko manula...
 
Kabisa,wengi wanalipinga hilo suala...ubora wa kipa upo kwenye saves anazofanya na sio cleansheet......wajitafakari,
Naweza kusema katika mechi ya Simba na Prisons kipa Hussein Abel alikuwa bora kuliko manula...
Usichokijua ni kwamba ubora wa kipa ni zaidi ya hizo saves na cleensheet bali hata kuupanga vizuri ukuta wake, ndomana hata kwenye fouls pia kipa anahusika zaidi kuonesha namna ya kupanga ukuta wa kuzuia,
 
Usichokijua ni kwamba ubora wa kipa ni zaidi ya hizo saves na cleensheet bali hata kuupanga vizuri ukuta wake, ndomana hata kwenye fouls pia kipa anahusika zaidi kuonesha namna ya kupanga ukuta wa kuzuia,
Aisssseeeeh sawa
 
Aisssseeeeh sawa
Ukisema Diarra au Air manula siyo Bora eti kisa wanalindwa na mabeki wazuri unakosea hakuna team iliyokatazwa kusajili beki wazuri..unaweza ukawa na saves 500 AF umeruhusu magoli 100 na Una cleensheet 5 mwenzio akawa na saves 10 tu msimu mzima na cleensheet 10, kam uliangalia usiku wa tuzo Air manula mwenyewe alisema anaestahili kubeba tuzo ni diarra sababu amemzidi cleensheets..Goal keeper ni Zaid ya kukaa tu golini Bali ni kupanga pia ukuta wake vizuri ili team isishambuliwe Sana
 
Mbali na save pamoja na cleasheet Diarra anajua kupanga timu kujilinda na kushambulia. Ni aina ya makipa wanaojua kutuliza mabeki wake hasa timu ikielemewa.
Kwa maoni yangu Diarra nampa nafasi ya kipa bora hadi sasa ligi ilipofikia.
 
Ivii kwanini awa watoa takwimu sikuizi hawataki kabisa kutoa takwimu za Cleansheet kunani wanazificha!?
 
Mantiki iliyotumika:

Kwakua wametight Djigui Diarra yupo juu zaidi ya Manula.

Kwa maana kama Djigui Diarra angecheza pia izo mechi (2) sawa na Manula angekua na advantage chance ya kuongeza cleansheet mbili zaidi.
Hawana akili hao

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Maana yake ni kuwa: aliyecheza mechi nyingi anakuwa ana wastani mzuri wa minutes per goal conceded. Yani time interval ya kuruhusu goal ni kubwa kuliko yule mwenye mechi chache

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Hii timu ina mashabiki vituko
 
Kweli wenye akili ni wawili aliyecheza mechi 18 na aliyecheza mechi 16 wote Wana clean sheet sawa Bora ni aliyecheza mechi chache
Nakushangaa unawashangaa!Hawa wenye akili wawili tu.Wengine wote akili zao za uwezo wa kusukuma mavi kama yule mdudu anayeitwa Dingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…