Djigui Diara si golikipa wa kutegemewa

Djigui Diara si golikipa wa kutegemewa

Mowwo

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2015
Posts
1,083
Reaction score
1,628
Wakuu
Huyu golikipa wa Yanga naona kama amerelax sana. Kwanini hajitumi? Mechi kadhaa nikiangalia magoli anayoruhusu si magoli ambayo anajituma.

Mfano game ya Leo Yanga kufungwa goli tatu, kwanini magoli yote hakuwa anaruka kudaka au kupangua? Anasimama tuu kama mlingoti, kweli?

USHAURI
Ana maslahi mazuri na ni golikipa mzuri lakini apambane. Aruke kufuata mashuti ili apangue au aruke akikosa tutaelewa.

Yani aache uzembe

Screenshot_20241107_202300_Instagram.jpg
 
Wakuu
Huyu golikipa wa Yanga naona kama amerelax sana. Kwanini hajitumi? Mechi kadhaa nikiangalia magoli anayoruhusu si magoli ambayo anajituma.

Mfano game ya Leo Yanga kufungwa goli tatu, kwanini magoli yote hakuwa anaruka kudaka au kupangua? Anasimama tuu kama mlingoti, kweli?

USHAURI
Ana maslahi mazuri na ni golikipa mzuri lakini apambane. Aruke kufuata mashuti ili apangue au aruke akikosa tutaelewa.

Yani aache uzembe

View attachment 3146369
Kumeanza kuchangamka🤣🤣🤣
 
Msimlaumu Diarra, Shooting accuracy ya Offen Chikola ni ya kiwango cha UEFA champions league.

Huyo Dogo aitwe taifa stars.


 
Msimlaumu Diarra, Shooting accuracy ya Offen Chikola ni ya kiwango cha UEFA champions league.

Huyo Dogo aitwe taifa stars.
Pamoja na hiloo
Angalia tuu udakaji wake siku hizi. Atasimama kuangalia tu mpira unaenda nyavuni. Amesababisha Tabora wanaonekana vigogo
 
Back
Top Bottom