Djigui Diara si golikipa wa kutegemewa

Djigui Diara si golikipa wa kutegemewa

Iweke kihasibu sasa
Kihasibu zaidi

20241107_204231.jpg
20241107_203446.jpg
 
Wakuu
Huyu golikipa wa Yanga naona kama amerelax sana. Kwanini hajitumi? Mechi kadhaa nikiangalia magoli anayoruhusu si magoli ambayo anajituma.

Mfano game ya Leo Yanga kufungwa goli tatu, kwanini magoli yote hakuwa anaruka kudaka au kupangua? Anasimama tuu kama mlingoti, kweli?

USHAURI
Ana maslahi mazuri na ni golikipa mzuri lakini apambane. Aruke kufuata mashuti ili apangue au aruke akikosa tutaelewa.

Yani aache uzembe

View attachment 3146369
Bado ni golikipa mzuri, ila naona kama ameongezeka uzito kidogo.

Ova
 
Hizi game 2 za mwisho Vs Azam & Tabora ndio reference Kwa Timu zilizo kundi moja na uto CACL ...Si mlisema nyie tishio africa
 
Msimlaumu Diarra, Shooting accuracy ya Offen Chikola ni ya kiwango cha UEFA champions league.

Huyo Dogo aitwe taifa stars.



View: https://x.com/tplboard/status/1854576024677499284?t=VF8GelRx5Q4wNdiTg60ctQ&s=19
 
Wakuu
Huyu golikipa wa Yanga naona kama amerelax sana. Kwanini hajitumi? Mechi kadhaa nikiangalia magoli anayoruhusu si magoli ambayo anajituma.

Mfano game ya Leo Yanga kufungwa goli tatu, kwanini magoli yote hakuwa anaruka kudaka au kupangua? Anasimama tuu kama mlingoti, kweli?

USHAURI
Ana maslahi mazuri na ni golikipa mzuri lakini apambane. Aruke kufuata mashuti ili apangue au aruke akikosa tutaelewa.

Yani aache uzembe

View attachment 3146369
Huyu huyu mdaka mishale?
 
Wakuu
Huyu golikipa wa Yanga naona kama amerelax sana. Kwanini hajitumi? Mechi kadhaa nikiangalia magoli anayoruhusu si magoli ambayo anajituma.

Mfano game ya Leo Yanga kufungwa goli tatu, kwanini magoli yote hakuwa anaruka kudaka au kupangua? Anasimama tuu kama mlingoti, kweli?

USHAURI
Ana maslahi mazuri na ni golikipa mzuri lakini apambane. Aruke kufuata mashuti ili apangue au aruke akikosa tutaelewa.

Yani aache uzembe

View attachment 3146369
Djugui Diara ni kipa mzuri akizungukwa na ukita mzuri wa mabeki.
Game ya leo ilikuwa ngumu kwa Yanga ukuta wa mabeki haukuwa imara kiasi cha yeye kupoteza matumaini tangu Bacca apewe red card Diara ni kama hana matumaini wala furaha.

Si mtu wa Kumlaumu hamkumbuki kwenye Derby Ateba Alibaki nae 1 v 1 na akasave?
Ni mara ngapi anawasave?

Leo ni siku mbaya kazini, Offen Chikola mwenyewe anapiga sehemu mbaya tu hata angekuwa Buffon au Van de Sar asingechomoa zile. 😂
 
Mimi ni shabiki wa Simba ila niseme mashabiki wengine ni uchwara au wanabet Yani wanasubir timu ifungwe waaze kumrushia mtu lawama , mara oo kocha na apo juzi wamemsifia, kubali mpira una matokeo matatu basi, mpira ni mchezo wa makosa, mech alizoshinda yanga ni Kwa sababu ya makosa ya timu pinzani, ili timu ifungwe lazma yawepo makosa, we yanga unalalmika hvo VP Madrid na man city 🤔
 
Mimi ni shabiki wa Simba ila niseme mashabiki wengine ni uchwara au wanabet Yani wanasubir timu ifungwe waaze kumrushia mtu lawama , mara oo kocha na apo juzi wamemsifia, kubali mpira una matokeo matatu basi, mpira ni mchezo wa makosa, mech alizoshinda yanga ni Kwa sababu ya makosa ya timu pinzani, ili timu ifungwe lazma yawepo makosa, we yanga unalalmika hvo VP Madrid na man city 🤔
Mkuu penye ukweli pasemwe
Tusiogope kufunguka ukweli ilhali tunaona wap panayumba.
Ukweli huu ni wa kumjenga
 
ile mechi ya kufungwa mbali alipuuzia mpira baada ya kuona mchezaji wake kafanyiwa madhambi akajua ni faulo

diara hawezi linganishwa na kipa yeyote tz
Kwa performance hii mkuu
Amna, yupo chini ya kiwango
 
Back
Top Bottom