Hakuna sehemu nimemzungumzia Mayele... Soma tenaLakini mkuu Isaac huyu Mayele mbona goli zake na goli za timu yetu pendwa zinafanana.?
Maana yeye mpaka sasa ana goal 2.
Na sisi tuna magoli mawili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimezungumzia mechi moja maana ndio mechi pekee iliyokuwa na ushindani. Ni ajabu sana kama Djuma anapata fatigue kwa mechi 2 tu. Kina Feisal wamecheza kuanzia Champions league na hawana fatigue. Djuma kacheza mechi 5 tena rahisi ameshavurunda.Mbona umeongelea mechi moja tu ya Jana ndo umemtazama ukaja na conclusion yako, vp mechi nyingine ukumtizama? Mchezaji kuwa underperformance kwa mechi moja ni kawaida sana, kumbuka yanga amecheza mechi 2 ndani ya siku 4 tena mechi ngumu ambazo wametumia energy kubwa Sana, kiufundi lazima kuwepo na wachezaji ambao wamepata fatiq kwakuwa awapati mda mzuri wa kurecover kutokana na mechi kuwa karibu Karibu, ivyo basi kiwango cha shaban juma jana ni uchovu huo, mbona mechi nyingine anaperfom vizuri, alafu unakuja kumlinganisha na Inonga ambae anacheza nafasi tofauti kabisa sijakuelewa ulikuwa unamaanisha nini, mbona kapombe wenu anacheza chini ya kiwango kwaiyo na yeye ni mchezaji mbaya?
Mtateseka sana mwaka huuSio yeye tu NYANI wote wale hakuna kitu ila wana hamasa tu kama ile uto(NYANI) ya mwinyi Zahera.
Hivi kwenye tuzo kule Kongo alitokea? Au ndo Magarasa wa Kongo?Mbona umeongelea mechi moja tu ya Jana ndo umemtazama ukaja na conclusion yako, vp mechi nyingine ukumtizama? Mchezaji kuwa underperformance kwa mechi moja ni kawaida sana, kumbuka yanga amecheza mechi 2 ndani ya siku 4 tena mechi ngumu ambazo wametumia energy kubwa Sana, kiufundi lazima kuwepo na wachezaji ambao wamepata fatiq kwakuwa awapati mda mzuri wa kurecover kutokana na mechi kuwa karibu Karibu, ivyo basi kiwango cha shaban juma jana ni uchovu huo, mbona mechi nyingine anaperfom vizuri, alafu unakuja kumlinganisha na Inonga ambae anacheza nafasi tofauti kabisa sijakuelewa ulikuwa unamaanisha nini, mbona kapombe wenu anacheza chini ya kiwango kwaiyo na yeye ni mchezaji mbaya?
Tufanye ni garasa haya wewe inakusaidia nini wakati garasa hachezi timu yakoHivi kwenye tuzo kule Kongo alitokea? Au ndo Magarasa wa Kongo?
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Elewa swali, si garasa anacheza kwako, nyuma mwikoTufanye ni garasa haya wewe inakusaidia nini wakati garasa hachezi timu yako
Garasa kwako kwetu ni almasiElewa swali, si garasa anacheza kwako, nyuma mwiko
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Kama mlivyopigwa kwa Kibu DenisUsajili wa maana walioufanya utopolo ni kwa haya majamaa matatu. Sina uhakika sana kwa Makambo sijamuona akicheza sana.
Ila Djuma Shaban na Mayele hapa utopolo wamepigwa.
Sawa hawezi kwani ulichangia sh ngapi? Una wivu wa kike"haaa, asiyeweza siku zote huona kama anaweza weza"lakini ukweli ni hawezi
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Acha upuuzi djuma hadithi nyingine ioa sil kila siku mchezaji yuko sawa,pia kumbuka jamaa anacheza kwa akili sana asije kuumiaJana kwa mara ya kwanza nilitazama mechi baina ya Yanga na Ruvu. Nilimtazama kww makini mchezaji Djuma Shaban aliyesajiliwa kwa mbwembwe na kuwekwa kurasa za mbele za magazeti.
Kusema kweli hana maajabu hata kidogo. Anapoteza mipira kizembe sana, hana utulivu mchezoni.
Mwanzo alihusishwa na kutakiwa na Simba ila baada ya kumtazama jana nimeelewa ni kwanini Simba waliamua kuachana naye badala yake wakamsajili Inonga.
Djuma Shabani ni mchezaji overrated sana.
Tuliza kishundu,mtaishia lile birika lakuvutia shisha ila ubingwa hampatiMashabiki mandazi wa simba endeleeni kuqngalia pila Gimbi la Simba Mbovu ya wazee na watoto wa shule.
Wakina Kibu wanaocheza utadhani wana funza miguuni.
Sasa upuuzi wangu ni upi kama unakiri sio kika siku mchezaji anakuwa sawa? Djuma ni overratedAcha upuuzi djuma hadithi nyingine ioa sil kila siku mchezaji yuko sawa,pia kumbuka jamaa anacheza kwa akili sana asije kuumia
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app