Tangu ligi imeanza djuma ameumia lini?Djuma ni gari ya mkaa ,trip shamba,trip garage,yule anamajeruhi ya kudumu hawwzi mziki wa kibabe
Maelezo marefu ya taarabu kabisa haya.ππππππππππ
Kweli Sikio kufa halisikii Dawa
Makolo mpo bize kuchambua kikosi cha Yanga yenu yamewashinda.
Najua ndio mnatafta wachezaji wa kusajiri msimu ujao from Yanga Ila subilini basi msimu uishe tutakaa mezani Tuwapatie players wengine zaidi ya Morrison.
Makolo acheeni Taarabu chezeni
Tunaongelea djuma ,hao wengine ukitaka wafungulie uzi wao tutawaongelea,kule DRC djuma anajulikana hivyo,mechi tano bench miezi sitaTangu ligi imeanza djuma ameumia lini?
Vp kuhusu mugalu? na sakho? kagere na boko
kwani sahivi unajua amecheza mechi ngapi? au unawashwa nyuma?Tunaongelea djuma ,hao wengine ukitaka wafungulie uzi wao tutawaongelea,kule DRC djuma anajulikana hivyo,mechi tano bench miezi sita
Matusi yametoka wapi,anawashwa mama yako mlete nimkunekwani sahivi unajua amecheza mechi ngapi? au unawashwa nyuma?
Unawashwa?Matusi yametoka wapi,anawashwa mama yako mlete nimkune
kawaulize paka fcJana kagere alipatiwa assist na Kibwana siyo?
Hongereni nyie mliofanya usajili wa maana[emoji851][emoji851][emoji851]Jana kwa mara ya kwanza nilitazama mechi baina ya Yanga na Ruvu. Nilimtazama kww makini mchezaji Djuma Shaban aliyesajiliwa kwa mbwembwe na kuwekwa kurasa za mbele za magazeti.
Kusema kweli hana maajabu hata kidogo. Anapoteza mipira kizembe sana, hana utulivu mchezoni.
Mwanzo alihusishwa na kutakiwa na Simba ila baada ya kumtazama jana nimeelewa ni kwanini Simba waliamua kuachana naye badala yake wakamsajili Inonga.
Djuma Shabani ni mchezaji overrated sana.
Kwa timu ile hata top 3 huingii amini..Mmetangulia na baiskeli ya biscuit tu...
Peleka timu yako ukione cha motoUsajili wa maana walioufanya utopolo ni kwa haya majamaa matatu Bangala, Aucho na Moloko. Sina uhakika sana kwa Makambo sijamuona akicheza sana.
Ila Djuma Shaban na Mayele hapa utopolo wamepigwa.
na kati ya mayele na kagere kwa hizi mechi 5 za ligi nani bora . Karibu. Kumbuka mpira Ni takwimu.mbona mayele mi ndo naona ni tisho anatupia magoli
Acha kufananisha mayele na vitu visivyoelewekana kati ya mayele na kagere kwa hizi mechi 5 za ligi nani bora . Karibu. Kumbuka mpira Ni takwimu.