Djuma ni overrated player

Djuma ni overrated player

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…
Kweli Sikio kufa halisikii Dawa
Makolo mpo bize kuchambua kikosi cha Yanga yenu yamewashinda.
Najua ndio mnatafta wachezaji wa kusajiri msimu ujao from Yanga Ila subilini basi msimu uishe tutakaa mezani Tuwapatie players wengine zaidi ya Morrison.

Makolo acheeni Taarabu chezeni mpira
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…
Kweli Sikio kufa halisikii Dawa
Makolo mpo bize kuchambua kikosi cha Yanga yenu yamewashinda.
Najua ndio mnatafta wachezaji wa kusajiri msimu ujao from Yanga Ila subilini basi msimu uishe tutakaa mezani Tuwapatie players wengine zaidi ya Morrison.

Makolo acheeni Taarabu chezeni
Maelezo marefu ya taarabu kabisa haya.
 
Tangu ligi imeanza djuma ameumia lini?

Vp kuhusu mugalu? na sakho? kagere na boko
Tunaongelea djuma ,hao wengine ukitaka wafungulie uzi wao tutawaongelea,kule DRC djuma anajulikana hivyo,mechi tano bench miezi sita
 
Tunaongelea djuma ,hao wengine ukitaka wafungulie uzi wao tutawaongelea,kule DRC djuma anajulikana hivyo,mechi tano bench miezi sita
kwani sahivi unajua amecheza mechi ngapi? au unawashwa nyuma?
 
Lakini namba hazidanganyi.

Kibwana shomari -1 assist
Djuma shaban - 1 goal

Kapombe - back pass105,800000

Zimbwe - shoot off target 1000000000

SOURCE: Mpiratakwimu
Jana kagere alipatiwa assist na Kibwana siyo?
 
Jana kwa mara ya kwanza nilitazama mechi baina ya Yanga na Ruvu. Nilimtazama kww makini mchezaji Djuma Shaban aliyesajiliwa kwa mbwembwe na kuwekwa kurasa za mbele za magazeti.

Kusema kweli hana maajabu hata kidogo. Anapoteza mipira kizembe sana, hana utulivu mchezoni.

Mwanzo alihusishwa na kutakiwa na Simba ila baada ya kumtazama jana nimeelewa ni kwanini Simba waliamua kuachana naye badala yake wakamsajili Inonga.

Djuma Shabani ni mchezaji overrated sana.
Hongereni nyie mliofanya usajili wa maana[emoji851][emoji851][emoji851]

Banda mtafugia kuku,Inonga Kung Fu huuu-haaa[emoji51]

Kolo goli 3-Feisal goli 3[emoji1787]

Nani mwingine hivi mmesajili???
 
kawaulize paka fc

20211022_102855.jpg
 
Hongereni nyie mliofanya usajili wa maana[emoji851][emoji851][emoji851]

Banda mtafugia kuku,Inonga Kung Fu huuu-haaa[emoji51]

Kolo goli 3-Feisal goli 3[emoji1787]
Mmetangulia na baiskeli ya biscuit tu...
 
Usajili wa maana walioufanya utopolo ni kwa haya majamaa matatu Bangala, Aucho na Moloko. Sina uhakika sana kwa Makambo sijamuona akicheza sana.

Ila Djuma Shaban na Mayele hapa utopolo wamepigwa.
Peleka timu yako ukione cha moto
 
Back
Top Bottom