Hapa Mbowe anasemaje kubusu Mdude?Acha kufananidha uupuzi wa kupita na chama kikongwe chenyenye weledi kuhusu makonda hana hekima hata kidogo
Sio ety katafsiriwa vibaya kama anavyo dai nauhakika makonda aliulizwa muda huu kwanini unasema umetafsiriwa vibaya hawezi kujielezea zaidi ya kutoa matusi tu.
Ufipa waki iga busara za viongozi wa ccm ndio wameisha kwani hawana uwezo wa kujenga hoja bila matusi,leo mbowe akitaka amuombee msamaha kiongozi mmoja mmoja itamchukua karne nzima kwani wanachama wake na viongozi wake wanategemea matusi kuwainua kisiasa ndio ujasiri wao mfano mdogo ni mdude.Akimaliza kumtukana raisi anajisifia kuwa ni jasiri.
Hivi CHAMA CHA MAFISADI wanaweza kutoa fundisho gani kwa wengine?Dr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .
Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.
Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?
Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Wewe mwenyewe unajua ni kiasi gani unamtukana Mh. Mbowe humu.Njoo na ushahidi
Ebu acha hizo akina makonda na magenge yake wanavyoteka na kuua watu ww waona ni sawa. Yaani kuambiwa ukweli ndio matusi. Lisu kusema tunataka utawala Bora na katiba ndio matusi kweli jitafakari naona ww ujajua dunia inaelekea wapiDr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .
Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.
Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?
Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Kweli, Bashiru ametufundisha mengi tangu zamaniDr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .
Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.
Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?
Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Mbona hoja yenyewe ina matege? Atajikitaje sasa? Hebu isome title na kisha content Kama hujaona zinavyoachana! Haziendani kabisa!Jikite kwenye hoja
Bungeni kuna spika sasa Vilevile kuna tofauti ya mawazo ya mtu na matusi huwezi kuzuia mawazo ya mtu binafsi hiyo sio demokrasia kama mambo wakati wa Kikwete yaliruhusiwa ni kwanini sasa kwa Magufuli hayaruhusiwi?Dr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .
Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.
Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?
Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Mbowe mwenyewe ni mfuasi wa matusi yaani ufipa bila matusi wanaumwa.Hapa Mbowe anasemaje kubusu Mdude?View attachment 1093502
Ushabiki wa aina hii ndio ulioifikisha nchi mahali ilipofika. Una tetea kwamba kauli za vijana wa CCM zinatafsiriwa ndivyo sivyo na wakati huo huo unatafsiri kauli za wasiokua CCM kuwa ni matusi? Na unakubali kwamba kuna kauli tata zinazotolewa na wana-CCM? Naona ni kama vile huna msimamo unafuata tu upepo. Tena kwa kutokujua ama kwa makusudi umetoa jibu ambalo wengi wanajiuliza vichwani, kwamba wasiojulikana ni kina nani? Kumbe wewe unawajua wanaoteka watu kwa kutafsiri hoja zao kuwa ni matusi? Dr Bashiru amemuombea msamaha kiongozi mwenzake kwa sababu amejiridhisha kwamba kweli kuna kosa limefanyika, na amekiri kwamba sio mara ya kwanza, na pia amekubali kwamba makosa ya aina hiyo yanatokea kwa sababu wao kama wazee wameshindwa kuwaandaa vijana kuwa viongozi bora, na hili limedhihirika hata kwako badala yakusimama kwenye ukweli kwa faida ya taifa kwa ujumla, wewe unabaki kwenye propaganda na ushabiki wa chama. Badilika kuwa na msimamo kwa taifa lako achana na ushabiki.Dr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .
Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.
Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?
Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Kwa hiyo Mbowe hasitahili kuwafunda wafuasi wake akina Mdude ?Ushabiki wa aina hii ndio ulioifikisha nchi mahali ilipofika. Una tetea kwamba kauli za vijana wa CCM zinatafsiriwa ndivyo sivyo na wakati huo huo unatafsiri kauli za wasiokua CCM kuwa ni matusi? Na unakubali kwamba kuna kauli tata zinazotolewa na wana-CCM? Naona ni kama vile huna msimamo unafuata tu upepo. Tena kwa kutokujua ama kwa makusudi umetoa jibu ambalo wengi wanajiuliza vichwani, kwamba wasiojulikana ni kina nani? Kumbe wewe unawajua wanaoteka watu kwa kutafsiri hoja zao kuwa ni matusi? Dr Bashiru amemuombea msamaha kiongozi mwenzake kwa sababu amejiridhisha kwamba kweli kuna kosa limefanyika, na amekiri kwamba sio mara ya kwanza, na pia amekubali kwamba makosa ya aina hiyo yanatokea kwa sababu wao kama wazee wameshindwa kuwaandaa vijana kuwa viongozi bora, na hili limedhihirika hata kwako badala yakusimama kwenye ukweli kwa faida ya taifa kwa ujumla, wewe unabaki kwenye propaganda na ushabiki wa chama. Badilika kuwa na msimamo kwa taifa lako achana na ushabiki.
Orodhesha hayo matusi ya hao akina mdude ili tujue nini cha kumshauri mbowe.Kwa hiyo Mbowe hasitahili kuwafunda wafuasi wake akina Mdude ?
Tangu alipompa Bashite maneno stahiki.Tangu lini?
Hapa Mbowe anasemaje kubusu Mdude?View attachment 1093502
Dr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .
Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.
Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?
Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.