Dk. Bashiru ampa elimu ya uongozi Freeman Mbowe

Dk. Bashiru ampa elimu ya uongozi Freeman Mbowe

Acha kufananidha uupuzi wa kupita na chama kikongwe chenyenye weledi kuhusu makonda hana hekima hata kidogo
Sio ety katafsiriwa vibaya kama anavyo dai nauhakika makonda aliulizwa muda huu kwanini unasema umetafsiriwa vibaya hawezi kujielezea zaidi ya kutoa matusi tu.
Ufipa waki iga busara za viongozi wa ccm ndio wameisha kwani hawana uwezo wa kujenga hoja bila matusi,leo mbowe akitaka amuombee msamaha kiongozi mmoja mmoja itamchukua karne nzima kwani wanachama wake na viongozi wake wanategemea matusi kuwainua kisiasa ndio ujasiri wao mfano mdogo ni mdude.Akimaliza kumtukana raisi anajisifia kuwa ni jasiri.
Hapa Mbowe anasemaje kubusu Mdude?
IMG_20190510_173410.jpeg
 
Pia amuombee msamaha wa kufoji vyeti na kutumia jina mtu mwingine kinyume na taratibu za nchi,.kuua na kuteka watu kumbakia watu kesi za uongo ili kuwakomoa.
 
Dr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .

Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.

Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?

Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Hivi CHAMA CHA MAFISADI wanaweza kutoa fundisho gani kwa wengine?
 
Dr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .

Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.

Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?

Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Ebu acha hizo akina makonda na magenge yake wanavyoteka na kuua watu ww waona ni sawa. Yaani kuambiwa ukweli ndio matusi. Lisu kusema tunataka utawala Bora na katiba ndio matusi kweli jitafakari naona ww ujajua dunia inaelekea wapi
 
Dr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .

Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.

Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?

Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Kweli, Bashiru ametufundisha mengi tangu zamani

Hata siku anamwita former minister ndugu Membe akiwa jukwaani bila kufuata utaratibu wowote tulijifunza mengi sana.

Keep on teaching us Bashiru
 
Kwani bashite alitamka mtandaoni au mbele ya waombolezaji

Vijana wa ccm wote akili hamna
 
Jikite kwenye hoja
Mbona hoja yenyewe ina matege? Atajikitaje sasa? Hebu isome title na kisha content Kama hujaona zinavyoachana! Haziendani kabisa!
Nyakati nyingine muwe mnaukubali ukweli kuwa mmezidiwa sana. Na waambie hao ccm wenzako kuwa, siasa kwenye misiba haina tija!
 
Dr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .

Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.

Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?

Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Bungeni kuna spika sasa Vilevile kuna tofauti ya mawazo ya mtu na matusi huwezi kuzuia mawazo ya mtu binafsi hiyo sio demokrasia kama mambo wakati wa Kikwete yaliruhusiwa ni kwanini sasa kwa Magufuli hayaruhusiwi?
 
Dr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .

Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.

Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?

Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Ushabiki wa aina hii ndio ulioifikisha nchi mahali ilipofika. Una tetea kwamba kauli za vijana wa CCM zinatafsiriwa ndivyo sivyo na wakati huo huo unatafsiri kauli za wasiokua CCM kuwa ni matusi? Na unakubali kwamba kuna kauli tata zinazotolewa na wana-CCM? Naona ni kama vile huna msimamo unafuata tu upepo. Tena kwa kutokujua ama kwa makusudi umetoa jibu ambalo wengi wanajiuliza vichwani, kwamba wasiojulikana ni kina nani? Kumbe wewe unawajua wanaoteka watu kwa kutafsiri hoja zao kuwa ni matusi? Dr Bashiru amemuombea msamaha kiongozi mwenzake kwa sababu amejiridhisha kwamba kweli kuna kosa limefanyika, na amekiri kwamba sio mara ya kwanza, na pia amekubali kwamba makosa ya aina hiyo yanatokea kwa sababu wao kama wazee wameshindwa kuwaandaa vijana kuwa viongozi bora, na hili limedhihirika hata kwako badala yakusimama kwenye ukweli kwa faida ya taifa kwa ujumla, wewe unabaki kwenye propaganda na ushabiki wa chama. Badilika kuwa na msimamo kwa taifa lako achana na ushabiki.
 
Ushabiki wa aina hii ndio ulioifikisha nchi mahali ilipofika. Una tetea kwamba kauli za vijana wa CCM zinatafsiriwa ndivyo sivyo na wakati huo huo unatafsiri kauli za wasiokua CCM kuwa ni matusi? Na unakubali kwamba kuna kauli tata zinazotolewa na wana-CCM? Naona ni kama vile huna msimamo unafuata tu upepo. Tena kwa kutokujua ama kwa makusudi umetoa jibu ambalo wengi wanajiuliza vichwani, kwamba wasiojulikana ni kina nani? Kumbe wewe unawajua wanaoteka watu kwa kutafsiri hoja zao kuwa ni matusi? Dr Bashiru amemuombea msamaha kiongozi mwenzake kwa sababu amejiridhisha kwamba kweli kuna kosa limefanyika, na amekiri kwamba sio mara ya kwanza, na pia amekubali kwamba makosa ya aina hiyo yanatokea kwa sababu wao kama wazee wameshindwa kuwaandaa vijana kuwa viongozi bora, na hili limedhihirika hata kwako badala yakusimama kwenye ukweli kwa faida ya taifa kwa ujumla, wewe unabaki kwenye propaganda na ushabiki wa chama. Badilika kuwa na msimamo kwa taifa lako achana na ushabiki.
Kwa hiyo Mbowe hasitahili kuwafunda wafuasi wake akina Mdude ?
 
Dr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .

Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.

Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?

Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.

Mkuu kumbe pale ni swala la chama na sio utu dhidi ya lugha kwa ukabila duh sijafikiri kabsa hili duh bora ukabila kuliko huu uchama
 
Back
Top Bottom