Kuna id njaa zimetengenezwa hapa kati ya March na April.. Ni balaa yaani lol..
Na pia namnukuu mtangaza kuna wakati aliseMa taasisi ya kina bisimba ilikuwa miongoni mwa taasisi zilizochaguliwa toa elimu ya uraia lakini badae serikali ilamua itoa nadhani kwa sababu ya ukwel ambao wamekuwa siku zote wakiusema bila mung' unya maneno
Kwa kwel bado najiuliza lengo la mleta mada sipati majibu au mi nina matatizo kwenye masikio yangu niliyasikia japo kwa uchache mno huyu mama hakuna ambapo alitamka kuitetea ukawa ila alionya swala la serikali waambia wananchi wapige kura ya ndio ingali hawana elimu ya kutosha ya uraia
Sasa kama hujaelewa hoja mbona unachangia?bila shaka uko together na mtoa hoja!Watanzania wa sasa si wa mwaka 47 wanajielewa na wanajuankupambanua mambo!suala la uelewa sio geni wanajua mambo yanayowahusu na dio maana hawana papara!utaona mwenyewe kwenye kura ndo utajua hao vibaraka wamepigwa chini!hakuna elimu wanayoitoa zaidi ya kashfa kwa serikali na kupiga kampeni tu!
kwa hiyo kuwasemea wanyonge, nayo ni siasa, ingekuwa ni taasisi inayojishughulisha na labda TEZI DUME/MARALIA, hapo ungekuwa sahihi, lakini ya haki za binadamu?? unashangaa kuwa against na serikali? kipindi kile sakata la ulimboko hawakuwa mbele? hadi serikali ikawachukia? uhuni uliofanyika kwenye rasimu ya warioba wakae kimya? wakati maoni ya wanainchi yametupwa huko! we vipi bwana umekula maharage ya wapi? juzi huko njombe kwenye BVR, kuna baadhi ya watetezi wa haki za binadamu walivamiwa na kupigwa, kisa wanajifanya viherehere!! narudia kusema kamwe mtetea haki za binadamu wa ukweli duniani kote hawezi kuwa upande wa mnyonyaji, hususani kwa Afrika! mfano hai angalia kinachoendelea huko BURUNDI, juzi kuna mtetezi wa haki za binadamu, alikamatwa kuwa ndio anayechochea maandamano!! huyu naye anaitwa mpinzani!! nyie kaeni na huyo mpanju wenu ambaye anatumia ulemavu wake kujinufaisha na kuwasahau wenzake, wanao mtegemea, safi sana majembe ya LHRT, Kwani kazi mliyoifanya juzi shy, juu ya elimu ya katiba pendekezwa,si mchezo!! wao wanadhani eti vifungu vya katiba ni ku vi display kwenye TBC, tu, imetoka!! watu wanafafanua hadi kiziwi anaelewa!! huko field unafanya mchezo!!
Thanks Mr.Dinousor avatarFungua thread ya kuitangaza iyo TLP yako hapa umepotea njia watu tunajadili mada wew unatuletea upuuzi wako wa lichama ambalo lishajifia miaka mingi hapa
Mama anaongea ukweli.ccm ukiongea ukweli tu wewe ni muahini.
swissme
Kwa kwel bado najiuliza lengo la mleta mada sipati majibu au mi nina matatizo kwenye masikio yangu niliyasikia japo kwa uchache mno huyu mama hakuna ambapo alitamka kuitetea ukawa ila alionya swala la serikali waambia wananchi wapige kura ya ndio ingali hawana elimu ya kutosha ya uraia
mama anaongea ukweli.ccm ukiongea ukweli tu wewe ni muahini.
Swissme
Mwakaboko King ww ni muongo mkubwa, ni wapi huyo mama Kijo ametaja chama? Acha upimbi jamani, katiba inayopendekezwa haifai hata kidogo, ni mbayaaaaa
na ukisoma wote wanaandika kitu kimoja ila kwa maneno tofauti!
huyu mama na taasisi zao niwadini sana.waislam wana pigwa lakini cjawai kumwona akiikemea serikali
Kwa taarifa yako, hakuna mtetezi yoyote wa haki za binadamu au mwanaharakati, anayeweza kuwa upande wa wanyonyaji hata siku moja, tena serikali yenyewe hiii?!!! mtawapata hao wakina mpanju tu, ambao wanaishi kwa kujipendekeza kwa watawala, timu nzima ya LHRC, JUKWAA LA KATIBA, kazi wanayofanya ni nzuri sana, najua kinachowauma ni hii elimu juu ya katiba pendekezwa kwani wanamwaga nondo huko kijijini c mchezo.
Nahisi umepanic mkuu umekula maharage ya wapi vile?