kwa hiyo kuwasemea wanyonge, nayo ni siasa, ingekuwa ni taasisi inayojishughulisha na labda TEZI DUME/MARALIA, hapo ungekuwa sahihi, lakini ya haki za binadamu?? unashangaa kuwa against na serikali? kipindi kile sakata la ulimboko hawakuwa mbele? hadi serikali ikawachukia? uhuni uliofanyika kwenye rasimu ya warioba wakae kimya? wakati maoni ya wanainchi yametupwa huko! we vipi bwana umekula maharage ya wapi? juzi huko njombe kwenye BVR, kuna baadhi ya watetezi wa haki za binadamu walivamiwa na kupigwa, kisa wanajifanya viherehere!! narudia kusema kamwe mtetea haki za binadamu wa ukweli duniani kote hawezi kuwa upande wa mnyonyaji, hususani kwa Afrika! mfano hai angalia kinachoendelea huko BURUNDI, juzi kuna mtetezi wa haki za binadamu, alikamatwa kuwa ndio anayechochea maandamano!! huyu naye anaitwa mpinzani!! nyie kaeni na huyo mpanju wenu ambaye anatumia ulemavu wake kujinufaisha na kuwasahau wenzake, wanao mtegemea, safi sana majembe ya LHRT, Kwani kazi mliyoifanya juzi shy, juu ya elimu ya katiba pendekezwa,si mchezo!! wao wanadhani eti vifungu vya katiba ni ku vi display kwenye TBC, tu, imetoka!! watu wanafafanua hadi kiziwi anaelewa!! huko field unafanya mchezo!!