Dk. Kijo bisimba ageuka kuwa msemaji wa ukawa!!!

Dk. Kijo bisimba ageuka kuwa msemaji wa ukawa!!!

Kwa kwel bado najiuliza lengo la mleta mada sipati majibu au mi nina matatizo kwenye masikio yangu niliyasikia japo kwa uchache mno huyu mama hakuna ambapo alitamka kuitetea ukawa ila alionya swala la serikali waambia wananchi wapige kura ya ndio ingali hawana elimu ya kutosha ya uraia
 
Na pia namnukuu mtangaza kuna wakati aliseMa taasisi ya kina bisimba ilikuwa miongoni mwa taasisi zilizochaguliwa toa elimu ya uraia lakini badae serikali ilamua itoa nadhani kwa sababu ya ukwel ambao wamekuwa siku zote wakiusema bila mung' unya maneno
 
Na pia namnukuu mtangaza kuna wakati aliseMa taasisi ya kina bisimba ilikuwa miongoni mwa taasisi zilizochaguliwa toa elimu ya uraia lakini badae serikali ilamua itoa nadhani kwa sababu ya ukwel ambao wamekuwa siku zote wakiusema bila mung' unya maneno

Sasa watamuelewesha nani wakat8 wao wenyewe ni wanasiasa na wako against CCM maana kwenye midahalo yao ukiwatazama via TV utawaona wanatamani siku moja CDM Iingie madarakani wamekuwa macompaign managers wa vyama!
 
Kwa kwel bado najiuliza lengo la mleta mada sipati majibu au mi nina matatizo kwenye masikio yangu niliyasikia japo kwa uchache mno huyu mama hakuna ambapo alitamka kuitetea ukawa ila alionya swala la serikali waambia wananchi wapige kura ya ndio ingali hawana elimu ya kutosha ya uraia

Sasa kama hujaelewa hoja mbona unachangia?bila shaka uko together na mtoa hoja!Watanzania wa sasa si wa mwaka 47 wanajielewa na wanajuankupambanua mambo!suala la uelewa sio geni wanajua mambo yanayowahusu na dio maana hawana papara!utaona mwenyewe kwenye kura ndo utajua hao vibaraka wamepigwa chini!hakuna elimu wanayoitoa zaidi ya kashfa kwa serikali na kupiga kampeni tu!
 
Sasa kama hujaelewa hoja mbona unachangia?bila shaka uko together na mtoa hoja!Watanzania wa sasa si wa mwaka 47 wanajielewa na wanajuankupambanua mambo!suala la uelewa sio geni wanajua mambo yanayowahusu na dio maana hawana papara!utaona mwenyewe kwenye kura ndo utajua hao vibaraka wamepigwa chini!hakuna elimu wanayoitoa zaidi ya kashfa kwa serikali na kupiga kampeni tu!

Nahisi umepanic mkuu umekula maharage ya wapi vile?
 
Fungua thread ya kuitangaza iyo TLP yako hapa umepotea njia watu tunajadili mada wew unatuletea upuuzi wako wa lichama ambalo lishajifia miaka mingi hapa
 
kwa hiyo kuwasemea wanyonge, nayo ni siasa, ingekuwa ni taasisi inayojishughulisha na labda TEZI DUME/MARALIA, hapo ungekuwa sahihi, lakini ya haki za binadamu?? unashangaa kuwa against na serikali? kipindi kile sakata la ulimboko hawakuwa mbele? hadi serikali ikawachukia? uhuni uliofanyika kwenye rasimu ya warioba wakae kimya? wakati maoni ya wanainchi yametupwa huko! we vipi bwana umekula maharage ya wapi? juzi huko njombe kwenye BVR, kuna baadhi ya watetezi wa haki za binadamu walivamiwa na kupigwa, kisa wanajifanya viherehere!! narudia kusema kamwe mtetea haki za binadamu wa ukweli duniani kote hawezi kuwa upande wa mnyonyaji, hususani kwa Afrika! mfano hai angalia kinachoendelea huko BURUNDI, juzi kuna mtetezi wa haki za binadamu, alikamatwa kuwa ndio anayechochea maandamano!! huyu naye anaitwa mpinzani!! nyie kaeni na huyo mpanju wenu ambaye anatumia ulemavu wake kujinufaisha na kuwasahau wenzake, wanao mtegemea, safi sana majembe ya LHRT, Kwani kazi mliyoifanya juzi shy, juu ya elimu ya katiba pendekezwa,si mchezo!! wao wanadhani eti vifungu vya katiba ni ku vi display kwenye TBC, tu, imetoka!! watu wanafafanua hadi kiziwi anaelewa!! huko field unafanya mchezo!!

Unajilisha upepo kijana,hao wanyonge wanaotetewa na Kijonwako wapi?au wanakutetea wewe mnyonge!!! Unaentertain unyonge karne hii ndo maana mnapigwa changanla la macho na wachumia tumbo kwa kuambiwa wanyonge mtatetewa mpaka siku ya kiama!Elewa siasa sio jukumu lao ndo maana nasema kazi ya kutangaza siasa waachie UKAWA kama vp wabadili usajili kutoka NGO kuwa chama cha siasa!waache kuwa wapiga hela!

Haki za Binadamu wanazotetea ni zipi mbona zao zimewashinda ndani ya ofisi yao!Ndiyo nimekula maharage mboga ya taifa ili nikuambie ,haijalishi maharage haya yametoka najua hata hapo kwenye stock yako unayo na unaendelea kula haya haya na ndiyo yaliyokukuza kufikia hapa pa kukubali kuburuzwa!masuala ya uongo hayakubaliki hapa kutumia pazia la Ngo kufanya siasa halikubaliki!Tanzania kamwe haiwezi kufanana na Burundi kamwe usifirisike mawazo ukiwa kijana look at the history kama hujui ntakuambia ya Ngoswe wamwachie Ngoswe! Na kama na wewe umetumwa kutetea uongo endelea kutetea wananchi wa Tz wana uelewa kuhusu mambo yao na kujiandikisha watajiandikisha na siku ya kupiga kura watapiga tena kwa wingi then uone hizo trip zao huko vijijini ku justfy matumizi ya hela wanazopewa na kuchangiwa watazirudishaje!Wameigeuza NGO yao kama SACCOS ha ha ha chenga kweli hao!!
 
Mama anaongea ukweli.ccm ukiongea ukweli tu wewe ni muahini.


swissme
 
Fungua thread ya kuitangaza iyo TLP yako hapa umepotea njia watu tunajadili mada wew unatuletea upuuzi wako wa lichama ambalo lishajifia miaka mingi hapa
Thanks Mr.Dinousor avatar
 
Kwa kwel bado najiuliza lengo la mleta mada sipati majibu au mi nina matatizo kwenye masikio yangu niliyasikia japo kwa uchache mno huyu mama hakuna ambapo alitamka kuitetea ukawa ila alionya swala la serikali waambia wananchi wapige kura ya ndio ingali hawana elimu ya kutosha ya uraia

Safi msemaji wa Kijo!inaelekea ulikua nae studio kupiga hela za wafadhiri kwa ajili ya kufanya siasa kwa mgongo wa NGO Eti mnaelimisha jamii ha ha ha ha pigeni tu!
 
huyu mama na taasisi zao niwadini sana.waislam wana pigwa lakini cjawai kumwona akiikemea serikali
 
Mwakaboko King ww ni muongo mkubwa, ni wapi huyo mama Kijo ametaja chama? Acha upimbi jamani, katiba inayopendekezwa haifai hata kidogo, ni mbayaaaaa

UMETUMWA kuja kutukana humu ungeweka huonukweli wako hapa hoja yangu ikafa usikalie kurukia mada usiyoijua kwa kujidhalilisha na maitusi yako!
 
na ukisoma wote wanaandika kitu kimoja ila kwa maneno tofauti!

Duuu haya majanga aka chaka!huyu Id zinafanana huyu wanaandika kitu kimoja ila kwa maneno tofauti mtu makini akiupima mchango wako anakugundua wewe ni mtu wa namna gani! Kitu kimoja ila maneno tofauti ha ha ha ha ha ha!sidanganyiki wewe!na wala hujanishawishi!
 
Huyu ni wakumpuuza gamba kubwa na leo umeumbuka p..b..vu unakuja na id ya kizushi kuleta unafiki hapa asante mods kwa kumuweka wazi huyu gamba
 
Kwa taarifa yako, hakuna mtetezi yoyote wa haki za binadamu au mwanaharakati, anayeweza kuwa upande wa wanyonyaji hata siku moja, tena serikali yenyewe hiii?!!! mtawapata hao wakina mpanju tu, ambao wanaishi kwa kujipendekeza kwa watawala, timu nzima ya LHRC, JUKWAA LA KATIBA, kazi wanayofanya ni nzuri sana, najua kinachowauma ni hii elimu juu ya katiba pendekezwa kwani wanamwaga nondo huko kijijini c mchezo.

Unamsema Mpanju yupi??, Yule wa CCM kwa tiketi ya wenye Ulemavu kwenye Katiba ya Chenge???
 
Nahisi umepanic mkuu umekula maharage ya wapi vile?

Kinachomtoka mtu ndo kimejaa moyoni, inaonyesha uko close sana na mboga hiyo ndio maana unaweweseka badala ya kuweka hoja ukaeleweka unabakia kutaja vyakula ha ha ha ha mufilisi!
 
Back
Top Bottom