Dk. Kijo bisimba ageuka kuwa msemaji wa ukawa!!!

Dk. Kijo bisimba ageuka kuwa msemaji wa ukawa!!!

Jamani kuna ukweli kidogo hapo..huyu mama si yule aliyeshiriki sinema ya Ulimboka maana yeye alikuwa ndio mtu wa kwanza kumuokota na kuanza kuongea kwamba alitekwa na usalama wa taifa...Kuna na yule mmachame mwenziwe Anna Nkyaa nae huwaga anaongelea siasa muda wote na kusahau uanaharakati..ila mi najua yote ni njaa tu.
 
huyu mama na taasisi zao niwadini sana.waislam wana pigwa lakini cjawai kumwona akiikemea serikali
SIO UDINI TU..kuna hadi ukabila kaulize tu watendaji wa pale wanatoka pande zipi
 

Kati ya mambo ambayo yananishangaza ni baadhi ya viongozi wa Asasi na Taasisi za Kiraia kusahau majukumu yao na kuanza kuwa wasemaji wa vyama vya Siasa, hili la Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC kugeuka mtoa matamko ya UKAWA kwa kujipa majukumu yasiyo yake kutoa matamko ya kuikataza Serikali kutokujihusisha na shughuli ya upatikanaji wa Katiba mpya halipaswi kuungwa mkono.

Kiongozi huyu ameigeuza taasisi hiyo jukwaa la Siasa na kusahau kabisa kuwa taasisi anayoiongoza pamoja na mambo mengine haitakiwi kufanya siasa la sivyo aende kwa msajili akakisajili kuwa chama kipya. Kwa namna yoyote ile huwezi kuitenga Serikali katika kutimiza wajibu wake katika hili ili hatimaye Tanzania tupate Katiba mpya!Mchakato huu hauwezi kusimama peke yake bila Serikali kuhusika hilo alijue na si kama anavyofikiri yeye. Na kama basi anataka kuwatumikia wananchi kwenye masuala ya siasa ajiunge na Chama kimojawapo cha siasa tujue moja ili aache kufanya Siasa ndani ya LHRC!

Mungu Ibariki Tanzania!
Heeeee we mama ckuhiz umekuwa mwanasiasa tena, huko kwenye siasa hakukufai na haukuwezi, nimefatilia hojza zako nimegundua kuwa unakosea kwa kupotosha umma hasa kuitaka serikali kuachana na mpango huu mahsusi wa katiba, we wapi LHRC imekushinda mpaka ujikite huko au umetumwa na hao UKAWA? Lol
 
Fungua thread ya kuitangaza iyo TLP yako hapa umepotea njia watu tunajadili mada wew unatuletea upuuzi wako wa lichama ambalo lishajifia miaka mingi hapa
We mbna hueleweki, umetumwa kuja kusemea watu au?
 
Huyu mama fyatu kweli sijui ukawa wanamlipa kiasi gani kuwa mseamji wao.

MJEPO Kiazi sana wewe inamaana hujui nini maana ya haki za binadamu na wanatetea nini,hujui ata chama chochote cha upinzani utetea na kupinga yale ya chama tawala.
Nauza dawa ya kuondoa gasi ya maharage,wewe umekula ya wapi?
 

Kati ya mambo ambayo yananishangaza ni baadhi ya viongozi wa Asasi na Taasisi za Kiraia kusahau majukumu yao na kuanza kuwa wasemaji wa vyama vya Siasa, hili la Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC kugeuka mtoa matamko ya UKAWA kwa kujipa majukumu yasiyo yake kutoa matamko ya kuikataza Serikali kutokujihusisha na shughuli ya upatikanaji wa Katiba mpya halipaswi kuungwa mkono.

Kiongozi huyu ameigeuza taasisi hiyo jukwaa la Siasa na kusahau kabisa kuwa taasisi anayoiongoza pamoja na mambo mengine haitakiwi kufanya siasa la sivyo aende kwa msajili akakisajili kuwa chama kipya. Kwa namna yoyote ile huwezi kuitenga Serikali katika kutimiza wajibu wake katika hili ili hatimaye Tanzania tupate Katiba mpya!Mchakato huu hauwezi kusimama peke yake bila Serikali kuhusika hilo alijue na si kama anavyofikiri yeye. Na kama basi anataka kuwatumikia wananchi kwenye masuala ya siasa ajiunge na Chama kimojawapo cha siasa tujue moja ili aache kufanya Siasa ndani ya LHRC!

Mungu Ibariki Tanzania![/QUOTEY

Tatizo la Serikali nyingi za kiafrika zinataka kuona kila mtu akiziunga mkono,hata kama zinakosea au kwenda kinyume na matarajio ya wananchi ambao ndio waajiri wa viongozi wetu

Hazitaki kabisa kuona kuna watu kama hawa ambao wanazi-challenge.Ukizo-challenge unaitwa mwanasiasa

Huyu Mama anafanya kazi nzuri sana,isipokuwa tu kwa mtazamo ule ule lazima ataonekana mbaya kwa sababu anakosoa,anaelemisha na amekuwa mkweli
 
Hakuna chama kinaitwa ukawa mtoa mada ujue na km kakiuka subiri
 
MJEPO Kiazi sana wewe inamaana hujui nini maana ya haki za binadamu na wanatetea nini,hujui ata chama chochote cha upinzani utetea na kupinga yale ya chama tawala.
Nauza dawa ya kuondoa gasi ya maharage,wewe umekula ya wapi?
Hiyo dawa c ukawauzie hapo kwenu wewe, huyo mama fyatu kweli cjui analipwa kiasi gani maana anaonekana ni mchumia tumbo wa Ukawa.
 

Kati ya mambo ambayo yananishangaza ni baadhi ya viongozi wa Asasi na Taasisi za Kiraia kusahau majukumu yao na kuanza kuwa wasemaji wa vyama vya Siasa, hili la Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC kugeuka mtoa matamko ya UKAWA kwa kujipa majukumu yasiyo yake kutoa matamko ya kuikataza Serikali kutokujihusisha na shughuli ya upatikanaji wa Katiba mpya halipaswi kuungwa mkono.

Kiongozi huyu ameigeuza taasisi hiyo jukwaa la Siasa na kusahau kabisa kuwa taasisi anayoiongoza pamoja na mambo mengine haitakiwi kufanya siasa la sivyo aende kwa msajili akakisajili kuwa chama kipya. Kwa namna yoyote ile huwezi kuitenga Serikali katika kutimiza wajibu wake katika hili ili hatimaye Tanzania tupate Katiba mpya!Mchakato huu hauwezi kusimama peke yake bila Serikali kuhusika hilo alijue na si kama anavyofikiri yeye. Na kama basi anataka kuwatumikia wananchi kwenye masuala ya siasa ajiunge na Chama kimojawapo cha siasa tujue moja ili aache kufanya Siasa ndani ya LHRC!

Mungu Ibariki Tanzania![/QUOTEY

Tatizo la Serikali nyingi za kiafrika zinataka kuona kila mtu akiziunga mkono,hata kama zinakosea au kwenda kinyume na matarajio ya wananchi ambao ndio waajiri wa viongozi wetu

Hazitaki kabisa kuona kuna watu kama hawa ambao wanazi-challenge.Ukizo-challenge unaitwa mwanasiasa

Huyu Mama anafanya kazi nzuri sana,isipokuwa tu kwa mtazamo ule ule lazima ataonekana mbaya kwa sababu anakosoa,anaelemisha na amekuwa mkweli
Kwa hilo huyo mama anapoteza mda wake bure ila hatushangai maana njaa itakuwa inamsumbua, hawezi kufanya kazi ya kuwasemea ukawa pasipo malipo.
 
kiongozi tupe data zaidi!

kijo alipopigwa ulimboka alikuwa upande wa ulimboka.madaktari walipofanya mgomo akawa upande wa madaktari.
yeye kama nimteteaji wa raia hakuona vifo vya waliokuwa wanakufa kutokana na mgomo ule?

mwangosi alipo pigwa bomu lile kijo na wenzake wakaleta kelele zao.bomu la arusha kanisani akapiga kelele.

shekhe ponda kapigwa risasi na polisi huyu mama sikumsikia akileta hizo kelele zake je ponda siyo binaadam?
au taasisi yao ipo kwa niaba ya cdm na wakristo pekee?
 
huyu mama na taasisi zao niwadini sana.waislam wana pigwa lakini cjawai kumwona akiikemea serikali

Sasa kama waislamu wanapigwa huyu mama anausika vipi na ugomvi wao,kama ni kupigwa na polisi na hao polisi ni dini kama wao-Wapi Suleman Kova,Said Mwema,Mahta hawa wote ni ugomvi wao mama hausiki nasema hausiki.
 
Hiyo dawa c ukawauzie hapo kwenu wewe, huyo mama fyatu kweli cjui analipwa kiasi gani maana anaonekana ni mchumia tumbo wa Ukawa.

Nyumbani kwetu hatuna wahanga wa gasi ya maharage,wahanga wapo Lumumba na Act,mana harakati zinawaingia wanastuka kujifunika kumekucha.
UKAWA ni tipa ya magonjwa yanayo enezwa na kirusi ccm na huyu mama ni dkt.So wacha dawa iwaingie.
 
Mkuu,

Unaonaje kwanza ukibainisha mipaka iliyopo kati ya HAKI ZA BINADAMU" NA "KATIBA YA NCHI" ili umfundishe sawa sawa huyu mama anapoongelea haki za binadamu asizungumzie kabisa masuala ya "KATIBA YA NCHI", NA MICHAKATO HUJUMU"?.

Katika maelezo yako, usisahau kukataza watu kuwa proactive. Wahimize wawe reactive, ili wawe wanasubiri madhra yametokea, ndipo waanza kuzima myoto!.


Pengine kwenye utangulizi wa majibu yako, uzungumzie kwa nguvu sana na mimi nielewe mantiki ya "KATIBA YA NCHI KUWA YA WANASIASA'!.

Naona niishie hapa, nisije nikakuonyesha sura yako ukasema nimekutukana imbecile!.



Kati ya mambo ambayo yananishangaza ni baadhi ya viongozi wa Asasi na Taasisi za Kiraia kusahau majukumu yao na kuanza kuwa wasemaji wa vyama vya Siasa, hili la Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC kugeuka mtoa matamko ya UKAWA kwa kujipa majukumu yasiyo yake kutoa matamko ya kuikataza Serikali kutokujihusisha na shughuli ya upatikanaji wa Katiba mpya halipaswi kuungwa mkono.

Kiongozi huyu ameigeuza taasisi hiyo jukwaa la Siasa na kusahau kabisa kuwa taasisi anayoiongoza pamoja na mambo mengine haitakiwi kufanya siasa la sivyo aende kwa msajili akakisajili kuwa chama kipya. Kwa namna yoyote ile huwezi kuitenga Serikali katika kutimiza wajibu wake katika hili ili hatimaye Tanzania tupate Katiba mpya!Mchakato huu hauwezi kusimama peke yake bila Serikali kuhusika hilo alijue na si kama anavyofikiri yeye. Na kama basi anataka kuwatumikia wananchi kwenye masuala ya siasa ajiunge na Chama kimojawapo cha siasa tujue moja ili aache kufanya Siasa ndani ya LHRC!

Mungu Ibariki Tanzania!
 
Sasa kama waislamu wanapigwa huyu mama anausika vipi na ugomvi wao,kama ni kupigwa na polisi na hao polisi ni dini kama wao-Wapi Suleman Kova,Said Mwema,Mahta hawa wote ni ugomvi wao mama hausiki nasema hausiki.

Issue hapa huyo mama ni kiongozi wa Chama cha Siasa wala sio NGO inabidi wachunguzwe wanafanya siasa hawa ni wapinzani hasa na ukiwakuta kwenye television wanapinga kila kitu kinachopita mbele yao?wana roho gani hawa hata siku moja ni hakuna jema la Serikali wao ni kulalamika tu!wapewe usajili wa Chama cha siasa hawa!
 
CCM wana madhambi yao, lakini huyu mama simpendi kabisa tabia yake. Toka pale alipoungana na madaktgari waliogoma ambapo watanzania wanyonge kwa dazani kadhaa walikufa huwa namuona hafai kabisa. Hana uzalendo. Ila naelewa kwanini anafanya hivyo. NGO hizi ni lazima ziwe hivyo kwani vinginevyo hazitapata fedha kutoka ulaya
 
Back
Top Bottom