Dk. Levy: Wema Sepetu, wewe ni faraja kwa masikini

Dk. Levy: Wema Sepetu, wewe ni faraja kwa masikini

Sana sana nilichoona ni listi ya wanaume na kui-magine idadi ya kilometa.
 
sitemi ngoooooooo ni malezi ya kiduwanzi yanachangia ntatema wakati namuachia binti yangu laana kama atakuwa kama huyu nyangau huyu wema hana mienendo mizuri na mimi kama mama siwezi kukubaliana na ujinga huu period
Ni muwaombee sana watoto wenu.....

Wanaharibiwa kuanzia na ndugu..majirani .... marafiki....hata walimu na mibaba


Kuna watoto primary no bikira

Anaweza kuja nyumbani akatulia kama mtakatifu once yupo nje ya geti ni balaa...

Wengine wanavaa mpaka ninja na wakitoka wanaenda kubadilia kitaa

Ombea sana wanao....Mungu awalinde malezi utakayowapa na njia itakayowafundisha waishike. Hakuna mtaalam wala bingwa kwehye kulea
 
Ni muwaombee sana watoto wenu.....

Wanaharibiwa kuanzia na ndugu..majirani .... marafiki....hata walimu na mibaba


Kuna watoto primary no bikira

Anaweza kuja nyumbani akatulia kama mtakatifu once yupo nje ya geti ni balaa...

Wengine wanavaa mpaka ninja na wakitoka wanaenda kubadilia kitaa

Ombea sana wanao....Mungu awalinde malezi utakayowapa na njia itakayowafundisha waishike. Hakuna mtaalam wala bingwa kwehye kulea
SO DO I NA NDO MAANA SIBARIKI TABIA ZA WEMA ....... SITAKI KUTEMA MATE WALA NINI HUYU MAMAKE SI HUWA ANASHANGILIA NA KUTUKANA MATUSI YA NGUONI WAKATI MWANAE ANAFANYA MAZABE SASA NATAKAJE
 
Wema ni Maarufu kuliko UKAWA maana kukamatwa kwake kumetikisa kuliko alivyokamatw Lowassa Geita, lijuakali,Lema na Lisu. Agombee Urais wa UKAWA 2020 maana wao huwa wanaangalia umaarufu tu hakuna cha uweZo wala maadili
 
...sasa hivi anamfariji nani huyu demu....au bado anafi.rika jela kama faraja kwa watesi?
 
wema ni takataka angekuwa mwanangu ningembadilisha na kapu niendee sokoni .................. halort...na ile sauti yake manina zake
Huna akili wewe,umejaa majivuno. Utamtukanaje hivyo mtanzania mwenzako. Halafu useme we nae ni binadamu kweli. Mwache mtoto wetu afurahie Tanzania kwao.
 
Wachache wameelewa[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Aisee,sijui huyu bwana ni mtu wa namna gani,natamani kumuona.Katika jamii ambayo watu wake wengi wameonyesha wazi kwamba wanachukia watu wanaojihusisha na madawa ya kulevya,he stands out in support of them? He must be a very evil person.Anavyomremba Wema as if kafanya kitu chema sana ,kumbe kasababisha vijana wetu wengi kuwa mataahira.Ajabu sana.
Nadhani hujamwelewa mtoa mada.
toka nje ya box, jamaa kaandika Kama Pasco..!
 
Hata ma dr. Siku hizi wanaupungufu wa kufikiri huwezi kumsifia mtu kwa kuwa na wanaume wengi.....huo ni ujinga au una akili kama zake
 
Teh
Huyu jamaa ni kavu sana kaanza kwa Mondi naona kahamia kwa huyo mvuta mibange!
 
Back
Top Bottom