Habari wadau wa JF.
Mnakumbuka msiba wa DC Mtwara aliyefariki wiki iliyopita? Nauliza hivi kwa sababu Watanzania ni wepesi wa kusahau aidha kutokana na pilika za maisha au matukio kuwa mengi.
Inasemekana Rais Magufuli amemshirikisha Mama Samia kumtafuta mwanamke ktk tasnia ya bongo muvi au bongo flavour ili achukue nafasi ya DC Mtwara ambayo ipo wazi. Inadaiwa nafasi hiyo ilikuwa zitangazwe ktk uteuzi wa Jana wa waziri wa sheria na katiba wakati moja.
Inadaiwa pendekezo hilo la Mama Samia lilimfikia Magufuli jioni saa 12 Jana na haikujulikana kwanini Rais hakuambatanisha uteuzi wake wa Mwigulu na Mwanabongo Muvi Wema Sepetu. Hata hivyo ushauri huo wa Mama samia au Mama wa Busara unadaiwa kuridhiwa na Rais.
Stay tuned muda wowote kitu kitarushwa hewani.