BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Kwa umaarufu wake hiyo list tayari ni DOA. Ila huku mtaani kuna watu wanazaidi ya hao watuKwanza ukiangalia hiyo listi ni wanaume 9 tu hapo........
Inawezekana Humu kuna watu wanajifanya malaika ila historia zao unaweza kukuta wanajaza behewa la treni ya gongo la mboto kama sio fuso mbili na mwendokasi tatu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
her fake Voice..hahahaha mie ningembadilisha kwa kilo ya sukari. lolwema ni takataka angekuwa mwanangu ningembadilisha na kapu niendee sokoni .................. halort...na ile sauti yake manina zake
umeona ee? upuuzi tuFaraja labda kwa akina msukuma na wenzie
wakati anamtukana makonda sauti haikuwa ile ya kuwaibia wakware wenzieher fake Voice..hahahaha mie ningembadilisha kwa kilo ya sukari. lol
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo[emoji45]takataka siwezi kutaka binti yangu awe na akili za kiduwanzi kama huyu manzi na malezi ya mamake ndo yamemponza maza fanta kabisa namchukia sana huyu mwanamke anaendekeza ungese tu umri lioao na upuuzi alionao walaa bora angezaliwa sufuria lichemshie supu mchewwwwwwwwwwwww
Wewe ni mama?sitemi ngoooooooo ni malezi ya kiduwanzi yanachangia ntatema wakati namuachia binti yangu laana kama atakuwa kama huyu nyangau huyu wema hana mienendo mizuri na mimi kama mama siwezi kukubaliana na ujinga huu period
Kwani hiyo tisa ni exact au sample?Kwanza ukiangalia hiyo listi ni wanaume 9 tu hapo........
Inawezekana Humu kuna watu wanajifanya malaika ila historia zao unaweza kukuta wanajaza behewa la treni ya gongo la mboto kama sio fuso mbili na mwendokasi tatu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahaha. as if u were in my mind... [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa hapo magumegume ndo yanavutiwa na ile fake voice. cha kushangaza mpaka baadhi ya kina dada wenzetu wanadanganyika kwamba ile ni her real voice na masifa kibao. hahahahawakati anamtukana makonda sauti haikuwa ile ya kuwaibia wakware wenzie
Tena mara dufuKwa umaarufu wake hiyo list tayari ni DOA. Ila huku mtaani kuna watu wanazaidi ya hao watu
Hyo Avatar ha ha haa ya mashoga wa Zenji[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]wema ni takataka angekuwa mwanangu ningembadilisha na kapu niendee sokoni .................. halort...na ile sauti yake manina zake
kikiki na mimi ni choko pia soon utaniona nimeunganishwa na delishazHyo Avatar ha ha haa ya mashoga wa Zenji[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Tatizo kwa wema ni umaarufu na pia kama kioo cha jamii hakutakiwa kuishi anavoishi.Tena mara dufu
mara 4 au 5 zaidi.Ila sidhani kama wanaona sifa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kikiki na mimi ni choko pia soon utaniona nimeunganishwa na delishaz
hahahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Teh teh tehhahahahaha
Hata kama sampleKwani hiyo tisa ni exact au sample?
kuna Nagarico, Msukuma;haidary n.k
Tunaowajua na tusiowajua.
Utakuwa umesoma post lakini hujaelewa context.Hata ma dr. Siku hizi wanaupungufu wa kufikiri huwezi kumsifia mtu kwa kuwa na wanaume wengi.....huo ni ujinga au una akili kama zake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii ndo tz bhana