cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
wewe ndio mwenye upungufu mwandishi ameandika na kutoa hadharani tabia chafu ya wema ili wale wanaomtetea wamjueHata ma dr. Siku hizi wanaupungufu wa kufikiri huwezi kumsifia mtu kwa kuwa na wanaume wengi.....huo ni ujinga au una akili kama zake
Hehehehehehe kanichekeshaa ni kama pia kamdhihaki
Mie siwaelewagi mnaowaita hawa kioo cha jamii...Tatizo kwa wema ni umaarufu na pia kama kioo cha jamii hakutakiwa kuishi anavoishi.
Kila mtu ni kioo katika familia. Jina la mtu maarufu na influence yake ktk jamii inachangia pa kubwa sana. Hili halina ubishiMie siwaelewagi mnaowaita hawa kioo cha jamii...
Jamii ipi?
Kila mmoja awe kioo kwa familia yake...kama mnawategemea hawa wasanii wenu ndio wawe vioo kazi mnayo watanzania
Ndio mziambie jamii zenu zibadilike.....Kila mtu ni kioo katika familia. Jina la mtu maarufu na influence yake ktk jamii inachangia pa kubwa sana. Hili halina ubishi
Mkuu chid Benz pia ni msanii. Na ndiyo maana jamii ilistuka na karibia mikoa yote ilifahamu hilo.Ndio mziambie jamii zenu zibadilike.....
Kama wenye majina ni vioo basi hata chid benz ni kioo
Mbadilishe mindset
Duh...!, hata kama ingekuwa kweli, sasa ndio umeharibu!, umemharibia kwa kuitoa nje hii siri, hivyo umemponza na jina lake sasa limeondolewa, hateuliwi tena yeye, sasa atateuliwa mtu mwingine tuu ila ni mwanamke!.Habari wadau wa JF.
Mnakumbuka msiba wa DC Mtwara aliyefariki wiki iliyopita? Nauliza hivi kwa sababu Watanzania ni wepesi wa kusahau aidha kutokana na pilika za maisha au matukio kuwa mengi.
Inasemekana Rais Magufuli amemshirikisha Mama Samia kumtafuta mwanamke ktk tasnia ya bongo muvi au bongo flavour ili achukue nafasi ya DC Mtwara ambayo ipo wazi. Inadaiwa nafasi hiyo ilikuwa zitangazwe ktk uteuzi wa Jana wa waziri wa sheria na katiba wakati moja.
Inadaiwa pendekezo hilo la Mama Samia lilimfikia Magufuli jioni saa 12 Jana na haikujulikana kwanini Rais hakuambatanisha uteuzi wake wa Mwigulu na Mwanabongo Muvi Wema Sepetu. Hata hivyo ushauri huo wa Mama samia au Mama wa Busara unadaiwa kuridhiwa na Rais.
Stay tuned muda wowote kitu kitarushwa hewani.