Tetesi: Dk Shoo kapigwa chini!Kagomea matokeo.

Tetesi: Dk Shoo kapigwa chini!Kagomea matokeo.

Status
Not open for further replies.
Linaloamini Maria ni mama wa Mungu?

Vichaa vyenu ni vya viwango sana
Wewe utakuwa si mkristu kabisaaa! Kwani vitabu vinasema Yesu alizaliwa toka tumboni mwa nani? Na Yesu ni nani...? Vinginevyo km wewe ni mkristu, Basi mkuu hujui unachodhani unajua
 
Hahahhahahaa.Akubali tu matokeo. Mbona yeye kipindi kile mwenzake wa Pwani na mashariki alikubali matokeo ? Yule wa pale Azania front.
 
Shoo alikosa haiba ya kuwa askofu mkuu

Malasusa alileta kanisa pamoja ila huyu shoo alikuwa anatengeneza mpasuko
Ni kweli.Malasusa Yuko vizuri baba Yake akiwa mchungaji wa Lutherani kanisa moja la sabato waliwahi kuwa na migogoro mikubwa wakamuomba alisimamie kwa muda Kama mchungaji wakati Sio msabato na alilisimamia vizuri mno Hadi mgogoro ukaisha vizuri waumini na uongozi wakataka aendelee kushika Hilo kanisa kagoma akawakabidhi kanisa lao baada ya kuwasaidia kumaliza migogoro yao.Askofu Malasusa karithi hekima kwa Baba Yake mchungaji mstaafu wa Lutheran.
 
Humjui Malasusa wala baba yake. Kihekima,hawa wapo Mbingu na Ardhi.
Ni kweli.Malasusa Yuko vizuri baba Yake akiwa mchungaji wa Lutherani kanisa moja la sabato waliwahi kuwa na migogoro mikubwa wakamuomba alisimamie kwa muda Kama mchungaji wakati Sio msabato na alilisimamia vizuri mno Hadi mgogoro ukaisha vizuri waumini na uongozi wakataka aendelee kushika Hilo kanisa kagoma akawakabidhi kanisa lao baada ya kuwasaidia kumaliza migogoro yao.Askofu Malasusa karithi hekima kwa Baba Yake mchungaji mstaafu wa Lutheran.
 
Habari za ndani kabisa zinatabanaisha kwamba jamaa kapigwa chini na kagomea matokeo!

Imeelezwa yule mfupi wa Karagwe kagomea matokeo na kambi yake inalazimisha uchaguzi urudiwe na kambi nyingine ikiongozwa na wa Iringa na Rukwa wanataka uchaguzi usirudiwe.Hatari!
Who is Dr. Shoo
 
Habari za ndani kabisa zinatabanaisha kwamba jamaa kapigwa chini na kagomea matokeo!

Imeelezwa yule mfupi wa Karagwe kagomea matokeo na kambi yake inalazimisha uchaguzi urudiwe na kambi nyingine ikiongozwa na wa Iringa na Rukwa wanataka uchaguzi usirudiwe.Hatari!
Duuuuh chuga iyo mwana
 
Dr Shoo ndiye mkuu wa KKKT kwa mara nyingine. Nyamitako kaangukia pua na mihela aliyokua anamwaga
Tumekesha kwa siku mbili kumkataa yeye shoo na Bagonza wake.2020 wachukue fomu wagombee kwa tiketi ya chadema tukutane sanduku la kura.Maaskofu gani hao kutwa wako kwenye Siasa .Karibuni kwenye Siasa nyie bagonza na shoo zile kadi zenu za chadema Sasa ruksa kuzionyesha wazi zitoeni kwenye majoho
 
Habari za ndani kabisa zinatabanaisha kwamba jamaa kapigwa chini na kagomea matokeo!

Imeelezwa yule mfupi wa Karagwe kagomea matokeo na kambi yake inalazimisha uchaguzi urudiwe na kambi nyingine ikiongozwa na wa Iringa na Rukwa wanataka uchaguzi usirudiwe.Hatari!
pole sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom