- Thread starter
- #41
Hicho kikongwe hakina content zaidi kuona umaarufu umeshuka na kuona njia rahisi ya kumpaisha ni hoja ya bandari hakahaka kazinzi kalisema kamekamata container la kura mbeya ndio maana mshumbushi anakabutua
Wewe kijana hata kauli yako moja tu ya maana iko wapi ndugu?