Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
personal HATE!.......As expectd mawasiliano yanakatika katika si unajua redio imejaa full usanii? Dr. Kajitambulisha yuko nyumbani kwake anahojiwaa na Gerald Hando eti wanataka afafanue sera zake atazitekeleza vipi kama elimu bure kwa wote, kwa sasa wamekata mahojiano ili sijui bonge atoe taarifa zake yaani ni vituko vitupu
MSANII,Hata kama slaa anaongea humo. sihangaishi kichwa changu kusikiliza hilo liredio bofyo.
Kwanza hawana mtu wa kumhoji slaa sana sana wataendekeza ushabiki wa kiccm na kumdhalilisha. Hawajui kwamba wanajimaliza kwani sidhani kama jk angekuwa hapo wangemkatiakatia matangazo kihivyo.
Unajua wanataka kuwaonesha wasikilizaji kisaikolojia kwamba huyu slaa mbona ni wa kawaida mmmmnooooo?!!!
Mdahalo wa itv ulishafunga kazi kwangu. kura yangu nishaiweka kwa slaa nasubiri kusign jumapili kumpitisha