Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
- Thread starter
- #21
Yawezekana clouds walimtafuta dk wenyewe ili kuleta uwiano. Suala la kukatisha mazungumzo linawezekana kwani wanaingiza hela kwa matangazo na ndio yanayodhamini huo mdahalo. So guys, stay tuned. After all the dk is yet to be presidaa... Until nov.