Dk Stephen Ulimboka Jembe na Nguzo ya MADAKTARI Nchini

Dk Stephen Ulimboka Jembe na Nguzo ya MADAKTARI Nchini

Mtu anaposema kwamba UHAI WAKE UPO HATARINI na tena kwa kuzingatia kauli za kutatanisha alizozitoa Mhe Pinda hapo jana maana yake ni kwamba swala hili lazima tukaliangalie kwa uzito wote bila ajizi!!!!!!!!!!!!!

Dr Ulimboka tayari kanukuliwa akisema vitisho kuzidi hadi dakika hii kutafuta roho yake. Attentio ya vyombo huru sasa linafuatilia jambo hili kuliko hata mgomo wenyewe ambao ni haki ya madaktari wetu hata hivyo.
 
Cha kushangaza ndio hicho, anaogopa nini kama kweli yupo kwenye haki?

Tukiwaambia hawa ni wachochezi, hamkubali.
 
Kumsakama kamanda wakati wapiganaji wamesambaa huku na kule nchi nzima ni kazi bure
 
then Ulimboka ni shujaa na anaendeleza mapambano mafichoni.... recall Kagame, Museveni, Samora, Mondlane, etc

Savimbi, Dhlakama, Meles Zenawi, Kony, Dr. John Garang, Leonard Nyangoma, Pierre Nkurunzinza, Agaton Rwasa, Mugabe, Mandela, Dos Santos, Kenyatta, nk. Hao walikuwa wakipigana msituni wakiwa na vyama vya siasa. Dr. Ulimboka ana chama kipi cha kisiasa na military wing gani?
 
...Akiongea na Channel Ten,Mwenyekiti wa jumuiya ya madaktari..Dr Ulimboka,ameongea kutoka mafichoni na kusema kuwa mgomo uko pale pale na utakuwa unashika kasi kwa mfumo tofauti tofauti..alipoulizwa kwanini hataki kujitokeza hadharani amesema amepata taarifa kuwa anatafutwa na usalama.Na amewaimiza madaktari kuendelea kugoma mpaka serikali itakapokuja kusikiliza madai yao.

source:Channel Ten.

ACHANA NA VITA YA MSITUNI. KAMA UNAUHAKIKA NA MADAI YENU YANINI KUWAOGOPA WANUSALAMA!? OGOPA MAJAMBAZI NA WAUUWAJI AU WANAUSALAMA WANAMAANA NYINGINE KWAKO? WAFIKIRI WATAKUPOTEZA!?
"Mbegu inapokufa (kufukiwa) ardhini huzaa mamia kwa mamilioni" kama unuhakika usijifiche.
 
Savimbi, Dhlakama, Meles Zenawi, Kony, Dr. John Garang, Leonard Nyangoma, Pierre Nkurunzinza, Agaton Rwasa, Mugabe, Mandela, Dos Santos, Kenyatta, nk. Hao walikuwa wakipigana msituni wakiwa na vyama vya siasa. Dr. Ulimboka ana chama kipi cha kisiasa na military wing gani?


Chama cha CUF

CUF
 
tusiwe wajinga wanausalama wangemtaka wangeanza mapema kabla pinda hajatoa msimamo
Anakimbia kivuli chake! Kwa hiyo anawasiliana na wanajeshi wake kwa njia gani? Ukiona anakimbia na kijificha ujue ndio mwisho wa vita. Siku niliyosikia kamanda Gaddafi (RIP) ameikimbia Tripoli nikajua kamanda wangu ameisha. Nikatamani akimbilie nchi yoyote ili watesi wake wasije kumnasa. Dr. naye is on the run!
 
jamaa anapenda sifa za kijinga sana toka zamani namjua vizuri

Mkuu kingxvi, ni kweli anapenda sifa za kijinga kwa mtazamo wako wa kimagamba. Hata hivyo wewe ndeye mwenye kupenda sifa za kijinga kwa kutetea ubaradhuri wa magamba kwa raia wa nchi hii.
 
Kinachotakiwa kushughulikiwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda hadi sasa ni D rUlimboka kuonekana hadharani huku akitiririshiowa vitisho na vyombo vya usalama au ni kushughulikia orodha ya madai ambayo huyo afisa mwandamizi wa serikali tayari alishafikishiwa ofisini kwake Magogogoni?

FF, wakati mwingine huwe unatumia hata dakika moja kufikiri kwanza.

Cha kushangaza ndio hicho, anaogopa nini kama kweli yupo kwenye haki?

Tukiwaambia hawa ni wachochezi, hamkubali.
 
Cha kushangaza ndio hicho, anaogopa nini kama kweli yupo kwenye haki?

Tukiwaambia hawa ni wachochezi, hamkubali.
we si ulikuja hapa kulalama hayohayo na system yako kuhusu mwandosya na yule mama mliyeingiliana kule kwenye maji na kwenye jamii??? fichuka basi na wewe utoke humo kwenye ushungi basi

tunahangaika na ulimboka ambaye kesho atasimama na kuendelea na kazi zake wakati tunajificha kila siku kwenye user ID

Ulimboka stood up to be counted, while most of us are busy with onlide IDs....

kakojoe ulale mkwe
 
kichwa cha ulimboka hakina thamani kwa usalama kaogopa maagizo ya pinda kumbe anagopa kufa mbona anasimamia mgomo wa kuua wagonjwa
 
Savimbi, Dhlakama, Meles Zenawi, Kony, Dr. John Garang, Leonard Nyangoma, Pierre Nkurunzinza, Agaton Rwasa, Mugabe, Mandela, Dos Santos, Kenyatta, nk. Hao walikuwa wakipigana msituni wakiwa na vyama vya siasa. Dr. Ulimboka ana chama kipi cha kisiasa na military wing gani?

savimbi au samora hawakupigania vyama vya saisa walipigania vikundi vya ukombozi

tofautisha ndugu yako mary chatanda na kagame
 
Shujaa anajificha tena? Huko mafichoni ana silaha gani na analindwa na nani?

Umewahi kukuona Joseph Koni?
Alfonso Kano aliwahi kujitokeza hadharani?
Ernesto che Guevara alikuwa akionekana mitaani?
 
Ni kweli si kila akimbia katika vita ameshindwa, huenda anajipanga kwa mashambulizi ya nguvu zaidi. LAKINI HUYU ULIMBOKA KWANI HATA AKIKAMATWA UNAFIKIRI KAMADAI NI YA MSINGI NGUVU YA UMMA ITAKUWA KIMYA!? KWANI HAO MADAKTARI WANAMTEGEMEA YEYE KUWAONGOZA KUJUA HAKI ZAO NA KUZIDAI!? MIMI SIDHANI, KUWA NA MAWAZO HAYO SI SAHIHI VINGINEVY NI KUAWATUSI HAO MADAKTARI WENGINE KWAMBA WANABURUZWA NAYE BILA KUJUA MSINGI WA MADAI YAO.
 
Anakimbia kivuli chake! Kwa hiyo anawasiliana na wanajeshi wake kwa njia gani? Ukiona anakimbia na kijificha ujue ndio mwisho wa vita. Siku niliyosikia kamanda Gaddafi (RIP) ameikimbia Tripoli nikajua kamanda wangu ameisha. Nikatamani akimbilie nchi yoyote ili watesi wake wasije kumnasa. Dr. naye is on the run!
Haya Kimbunga vunjika mguu, mbavu ukatibiwe MOI, Muhimbili....
Utatupa jibu kama vita imeisha.
 
kamanda ulimboka vita ya msituni imepitwa na wakati toka mafichoni
 
Ni kweli si kila akimbia katika vita ameshindwa, huenda anajipanga kwa mashambulizi ya nguvu zaidi. LAKINI HUYU ULIMBOKA KWANI HATA AKIKAMATWA UNAFIKIRI KAMADAI NI YA MSINGI NGUVU YA UMMA ITAKUWA KIMYA!? KWANI HAO MADAKTARI WANAMTEGEMEA YEYE KUWAONGOZA KUJUA HAKI ZAO NA KUZIDAI!? MIMI SIDHANI, KUWA NA MAWAZO HAYO SI SAHIHI VINGINEVY NI KUAWATUSI HAO MADAKTARI WENGINE KWAMBA WANABURUZWA NAYE BILA KUJUA MSINGI WA MADAI YAO.
Kama nchi ina watu wa aina hii inawaita "usalama wa taifa", hata bibi yangu angeweza kumchoma na mkuki kiwete na kutoroka bila "usalama wa taifa" kujua nini kimetokea.
 
Back
Top Bottom