gwino
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 333
- 47
na bado, utaendelea kumjua vizurijamaa anapenda sifa za kijinga sana toka zamani namjua vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na bado, utaendelea kumjua vizurijamaa anapenda sifa za kijinga sana toka zamani namjua vizuri
Cha kushangaza ndio hicho, anaogopa nini kama kweli yupo kwenye haki?
Tukiwaambia hawa ni wachochezi, hamkubali.
Mkuu mimi si shujaa ndio maana najificha. Shujaa yuko mafichoni kwani anaendesha vita ya msituni?
kakimbia presha ya pinda anasingizia usalama ili asionekane muoga
Wamefanya makosa. Jana wameambiwa wakakutane na PM wao wakajificha. Kama una nia nzuri ya majadiliano kwa nini ujifiche?
Kuna anakufahamu..kaniambia ulivokuwa mdogo ulibakwa na babako ndo mana akili si nzuri!Cha kushangaza ndio hicho, anaogopa nini kama kweli yupo kwenye haki?
Tukiwaambia hawa ni wachochezi, hamkubali.
Kama kawaida yao utawala wa magamba, wakishindwa nguvu ya hoja, basi hukimbilia nguvu za dola! Duh tutafika?
Cha kushangaza ndio hicho, anaogopa nini kama kweli yupo kwenye haki?
Tukiwaambia hawa ni wachochezi, hamkubali.
Yuko nyumbani,kamanda ulimboka vita ya msituni imepitwa na wakati toka mafichoni
Osama alijificha kwa miaka mingapi jee athari zake kwa nchi za magaribi zikoje. Leo osama hayupo falsafa na itikadi yake pia haipo? Kujificha kwangu mimi si uoga bali ni mbinu sahihi ya mapambano kwenye nchi kama yetu ambayo vibaraka ni wengi kuliko wazalendo wa kweli.Shujaa anajificha tena? Huko mafichoni ana silaha gani na analindwa na nani?
hana mpango.kama hawezi kujitokeza kisa anatafutwa basi asitishe mgomo.sasa watakutana vipi wakati hawajitokezi hadharani.mikakati yao wataiendeshaje.ama kweli kunguru mwuoga hukimbiza bawa lake.yeye nilitegemea atakuwa mstari wa mbel
e kwa lolote.madak
kamanda ulimboka vita ya msituni imepitwa na wakati toka mafichoni
fichuka basi na wewe useme jina lako... mambaff
Mkuu MTM, umenipa jioni njema, comment za hili lijamaa ni za kukurupuka uharo wa kipindupindu.
kamanda ulimboka vita ya msituni imepitwa na wakati toka mafichoni