Dk Stephen Ulimboka Jembe na Nguzo ya MADAKTARI Nchini

Dk Stephen Ulimboka Jembe na Nguzo ya MADAKTARI Nchini

Cha kushangaza ndio hicho, anaogopa nini kama kweli yupo kwenye haki?

Tukiwaambia hawa ni wachochezi, hamkubali.

Hata Magamba kwa magamba hawainiani, kuna tetesi kuwa FF ndiye mwenye roho mbaya ya kuwatilia sumu magamba wenzie Unachekesha!!:lol::lol::lol::lol::lol:
 
Kama kawaida yao utawala wa magamba, wakishindwa nguvu ya hoja, basi hukimbilia nguvu za dola! Duh tutafika?
 
Ilitakiwa kada nyingine tumuunge mkono ili serikali hii chovu iamke sasa tatizo kada zingne wanafiki tu...
 
kakimbia presha ya pinda anasingizia usalama ili asionekane muoga

Nilifikiri hoja ni mgomo, whether kuna mtu mmoja mmoja anaonekana au la hilo linabadilisha nini kwenye mgomo? TBC1 wamefanya kazi kubwa sana ya kuficha ukweli, lakini kama umeangalia ITV Muhimbili hali si hali. Ambulance zinaondoka na wagonjwa. hakuna hata mtu wa kuwapokea. Dr Ulimboka awe shimoni au awe Kempenski lakini ukweli ubaki pale pale, mgomo huu umeanika udhaifu mkubwa mno kwa serikali yetu kutatua mgogoro sehemu za kazi.
 
Acha unafiki wakutane naye wa nini ikiwa kama kila madai tyao yako kwa maandishi???? Huku kutafutana sababu tu. Think outside the box meeeeen.


Wamefanya makosa. Jana wameambiwa wakakutane na PM wao wakajificha. Kama una nia nzuri ya majadiliano kwa nini ujifiche?
 
Cha kushangaza ndio hicho, anaogopa nini kama kweli yupo kwenye haki?

Tukiwaambia hawa ni wachochezi, hamkubali.
Kuna anakufahamu..kaniambia ulivokuwa mdogo ulibakwa na babako ndo mana akili si nzuri!
 
Kama kawaida yao utawala wa magamba, wakishindwa nguvu ya hoja, basi hukimbilia nguvu za dola! Duh tutafika?

Ni moja ya dalili ya utawala huu kufikia ukingoni. Mwenye mtazamo tofauti na ajitokeze hapa!
 
Cha kushangaza ndio hicho, anaogopa nini kama kweli yupo kwenye haki?

Tukiwaambia hawa ni wachochezi, hamkubali.

Tangu lini serikali ya magamba inakuwa kwenye haki? wabunge posho juu sawa, madaktari mishahara juu hapana! sina muda wa kukutolea orodha ndefu ya ukiukwaji wa haki wa utawala wa magamba!
 
Shujaa anajificha tena? Huko mafichoni ana silaha gani na analindwa na nani?
Osama alijificha kwa miaka mingapi jee athari zake kwa nchi za magaribi zikoje. Leo osama hayupo falsafa na itikadi yake pia haipo? Kujificha kwangu mimi si uoga bali ni mbinu sahihi ya mapambano kwenye nchi kama yetu ambayo vibaraka ni wengi kuliko wazalendo wa kweli.

NA ATAKAYEMSALITI Dr. ULIMBOKA NI LAZIMA ASULUBIWE!!

 
Sasa ndio nimeanza kuona umuhimu wa ICC kule The Hague, CCM endeleeni kutafuta njia za ku eliminate watu kimyakimya kuna siku tutawaona watu wamevaa headphone kusikiliza mashtaka yao.
 
hana mpango.kama hawezi kujitokeza kisa anatafutwa basi asitishe mgomo.sasa watakutana vipi wakati hawajitokezi hadharani.mikakati yao wataiendeshaje.ama kweli kunguru mwuoga hukimbiza bawa lake.yeye nilitegemea atakuwa mstari wa mbel
e kwa lolote.madak

anatumia"guerrilla warfare", hawezi jitokeza mojakwa moja kama kuna hatari ya kushikwa. Hata bw mashaal wa hamas yuko mafichoni syria na struggle zinaendelea.
 
Sina hakika kama usalama wa Taifa wameshindwa kumkamata! Wakihitaji kufanya hivyo najua wanaweza.
 
fichuka basi na wewe useme jina lako... mambaff

Jinga ilo mkuu,hachana nalo!eti linasema shujaha anajificha!nyambafu kabisa,ulimboka alishajiweka wazi toka mwanzo na kaikosesha usingz serikali!watanzania wafunguke sasa!
 
Back
Top Bottom