Dk. Wilbroad Slaa ni mwanachama wa chama gani cha siasa Tanzania?

Dk. Wilbroad Slaa ni mwanachama wa chama gani cha siasa Tanzania?

Mr-Njombe

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
64
Reaction score
122
Anaaminika kwa lipi hasa hata apewe taarifa na kujulishwa mambo kadha wa kadha ya kitaifa na watu anaowaita wana usalama juu ya kinachoendelea nchini?
Ana umuhimu gani au ana ushawishi kwenye lipi hasa humu nchini hasa ukilinganisha historia ya maisha yake ya kifamilia na siasa ilivyogubikwa na vitimbi vya ukosefua wa uadilifu, uaminifu hekima na busara?
Kuna uwezekano maisha yake magumu yamemforce kujiingiza kwenye hili linalomuelemea na kuteseka nalo kwasasa, huku lengo ni kupima ushawishi wake na kuvutia vyama vya siasa vimuone kama anaefaa kuwekwa frontline kwenye hiki kinachoitwea vuguvugu la mabadiliko?

Unadhani amejipalia mkaa yeye mwenyewe au amejaribu kutaka kuwachonganisha na kuwafarakanisha wana usalama na serikali yao nchini? au unaonaje lakini pia Dr.Slaa ni mwana chama wa chama kipi cha siasa?
 
CCM ni balozi mstaff.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Anaaminika kwa lipi hasa hata apewe taarifa na kujulishwa mambo kadha wa kadha ya kitaifa na watu anaowaita wana usalama juu ya kinachoendelea nchini?
Ana umuhimu gani au ana ushawishi kwenye lipi hasa humu nchini hasa ukilinganisha historia ya maisha yake ya kifamilia na siasa ilivyogubikwa na vitimbi vya ukosefua wa uadilifu, uaminifu hekima na busara?
Kuna uwezekano maisha yake magumu yamemforce kujiingiza kwenye hili linalomuelemea na kuteseka nalo kwasasa, huku lengo ni kupima ushawishi wake na kuvutia vyama vya siasa vimuone kama anaefaa kuwekwa frontline kwenye hiki kinachoitwea vuguvugu la mabadiliko?

Unadhani amejipalia mkaa yeye mwenyewe au amejaribu kutaka kuwachonganisha na kuwafarakanisha wana usalama na serikali yao nchini? au unaonaje lakini pia Dr.Slaa ni mwana chama wa chama kipi cha siasa?
Mwanachama wa clubhouse kule x
 
Anaaminika kwa lipi hasa hata apewe taarifa na kujulishwa mambo kadha wa kadha ya kitaifa na watu anaowaita wana usalama juu ya kinachoendelea nchini?
Ana umuhimu gani au ana ushawishi kwenye lipi hasa humu nchini hasa ukilinganisha historia ya maisha yake ya kifamilia na siasa ilivyogubikwa na vitimbi vya ukosefua wa uadilifu, uaminifu hekima na busara?
Kuna uwezekano maisha yake magumu yamemforce kujiingiza kwenye hili linalomuelemea na kuteseka nalo kwasasa, huku lengo ni kupima ushawishi wake na kuvutia vyama vya siasa vimuone kama anaefaa kuwekwa frontline kwenye hiki kinachoitwea vuguvugu la mabadiliko?

Unadhani amejipalia mkaa yeye mwenyewe au amejaribu kutaka kuwachonganisha na kuwafarakanisha wana usalama na serikali yao nchini? au unaonaje lakini pia Dr.Slaa ni mwana chama wa chama kipi cha siasa?
Hujui dunia , siku ukajua dunia njoo tena na andiko lako , Dr slaa sio type yako, pumbavu
 
Anaaminika kwa lipi hasa hata apewe taarifa na kujulishwa mambo kadha wa kadha ya kitaifa na watu anaowaita wana usalama juu ya kinachoendelea nchini?
Ana umuhimu gani au ana ushawishi kwenye lipi hasa humu nchini hasa ukilinganisha historia ya maisha yake ya kifamilia na siasa ilivyogubikwa na vitimbi vya ukosefua wa uadilifu, uaminifu hekima na busara?
Kuna uwezekano maisha yake magumu yamemforce kujiingiza kwenye hili linalomuelemea na kuteseka nalo kwasasa, huku lengo ni kupima ushawishi wake na kuvutia vyama vya siasa vimuone kama anaefaa kuwekwa frontline kwenye hiki kinachoitwea vuguvugu la mabadiliko?

Unadhani amejipalia mkaa yeye mwenyewe au amejaribu kutaka kuwachonganisha na kuwafarakanisha wana usalama na serikali yao nchini? au unaonaje lakini pia Dr.Slaa ni mwana chama wa chama kipi cha siasa?
Hivi unafikiri Dr. Slaa hajui uzito na athari za maneno aliyosema? Huko pia kuna wazalendo ambao wanakerwa na ushenzi unaofanywa na utawala huu,hivyo wanatumia njia mbali mbali za kufikisha ujumbe.
 
Anaaminika kwa lipi hasa hata apewe taarifa na kujulishwa mambo kadha wa kadha ya kitaifa na watu anaowaita wana usalama juu ya kinachoendelea nchini?
Ana umuhimu gani au ana ushawishi kwenye lipi hasa humu nchini hasa ukilinganisha historia ya maisha yake ya kifamilia na siasa ilivyogubikwa na vitimbi vya ukosefua wa uadilifu, uaminifu hekima na busara?
Kuna uwezekano maisha yake magumu yamemforce kujiingiza kwenye hili linalomuelemea na kuteseka nalo kwasasa, huku lengo ni kupima ushawishi wake na kuvutia vyama vya siasa vimuone kama anaefaa kuwekwa frontline kwenye hiki kinachoitwea vuguvugu la mabadiliko?

Unadhani amejipalia mkaa yeye mwenyewe au amejaribu kutaka kuwachonganisha na kuwafarakanisha wana usalama na serikali yao nchini? au unaonaje lakini pia Dr.Slaa ni mwana chama wa chama kipi cha siasa?
Kama hana umuhimu kwanini umwage povu namna hii?
 
Anaaminika kwa lipi hasa hata apewe taarifa na kujulishwa mambo kadha wa kadha ya kitaifa na watu anaowaita wana usalama juu ya kinachoendelea nchini?
Ana umuhimu gani au ana ushawishi kwenye lipi hasa humu nchini hasa ukilinganisha historia ya maisha yake ya kifamilia na siasa ilivyogubikwa na vitimbi vya ukosefua wa uadilifu, uaminifu hekima na busara?
Kuna uwezekano maisha yake magumu yamemforce kujiingiza kwenye hili linalomuelemea na kuteseka nalo kwasasa, huku lengo ni kupima ushawishi wake na kuvutia vyama vya siasa vimuone kama anaefaa kuwekwa frontline kwenye hiki kinachoitwea vuguvugu la mabadiliko?

Unadhani amejipalia mkaa yeye mwenyewe au amejaribu kutaka kuwachonganisha na kuwafarakanisha wana usalama na serikali yao nchini? au unaonaje lakini pia Dr.Slaa ni mwana chama wa chama kipi cha siasa?
uzee wenye laana ni mateso sana aise :pulpTRAVOLTA:
 
Hujui dunia , siku ukajua dunia njoo tena na andiko lako , Dr slaa sio type yako, pumbavu
dah,
kwahiyo gentleman wewe ndio unaijua dunia siao?:pedroP:

mbona umehemko sana na kijana anataka kujua jambo kumuhusu mzee slaa? si umueleze tu namna hiyo dunia ya mzee slaa ilivyo:pulpTRAVOLTA:
 
Anaaminika kwa lipi hasa hata apewe taarifa na kujulishwa mambo kadha wa kadha ya kitaifa na watu anaowaita wana usalama juu ya kinachoendelea nchini?
Ana umuhimu gani au ana ushawishi kwenye lipi hasa humu nchini hasa ukilinganisha historia ya maisha yake ya kifamilia na siasa ilivyogubikwa na vitimbi vya ukosefua wa uadilifu, uaminifu hekima na busara?
Kuna uwezekano maisha yake magumu yamemforce kujiingiza kwenye hili linalomuelemea na kuteseka nalo kwasasa, huku lengo ni kupima ushawishi wake na kuvutia vyama vya siasa vimuone kama anaefaa kuwekwa frontline kwenye hiki kinachoitwea vuguvugu la mabadiliko?

Unadhani amejipalia mkaa yeye mwenyewe au amejaribu kutaka kuwachonganisha na kuwafarakanisha wana usalama na serikali yao nchini? au unaonaje lakini pia Dr.Slaa ni mwana chama wa chama kipi cha siasa?
Nchi ngumu sana hii
 
Kwamba hutozeeka?
bila laana nitazeeka,

lakini siwezi kusaliti mke na watotoa wangu, wala siwezi kupora mke wa mwananume wenzagu kama mzee slaa, wala siwezi kusaliti na kuasi kiapo cha kanisa kama huyo mzee mwenye laana gentleman :pedroP:
 
Hivi unafikiri Dr. Slaa hajui uzito na athari za maneno aliyosema? Huko pia kuna wazalendo ambao wanakerwa na ushenzi unaofanywa na utawala huu,hivyo wanatumia njia mbali mbali za kufikisha ujumbe.
Leo hii Dr slaa alieikimbia chadema akalamba asali ya ubalozi,wana Chadema ndio wana muamini saana kuliko Mwenyekiti wao 😀😄🙆

Wanamtukana Mwenyekiti wao matusi yote,kweli wanachama wana akili za kinyumbu tu
 
Back
Top Bottom