Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Lot of and A lot of----, I pursued them when I was in std 7, so far I no longer remember.🀣
Uthibitisho mkubwa huu kwamba wengine wanasoma shule ili tu waufaulu mtihani. Applikesheni husika maishani ni nongwa & guyuguzo.
 
Hakuna hata moja iliyonyooka mkuu
 
Ndiyo maana mwendazake hakuyataka hayo mambo yenu ya Kiingereza, ila alikuwa anapenda kuchomekea baadhi ya maneno, lakini siyo sentensi nzima.
Kama kuchomekea maneno ilikuwa mtihani, sijui ni nini kingetokea angejaribu sentensi nzima.
 
Yupo sahihi Mana hakuna kingengereza Cha there are a lot of bli Ni there is a lot of hata Kama Ni vingi au vichache
 
Mm naona namba 2 kidogo ina nafuu Ila marekebidho kidogo hapo.

There has been hii ni past form of There is katika umoja.
Wingi wake inakua There have been wakati ulio pita au there are wakati uliopo.
Katika hiyo sentence kuna a lot kumaanisha nyingi hivyo sahihi ni kutumia There have been....

There have been a lot of reform going on in our ministry.

There have been fair amount of reformations going on in our ministry.

Nakaribisha maoni zaidi na ushari na kukosolewa.

Muhimu kutumia/kuzingatia SVOCA katika kutengeneza sentence za kiingereza.

Kwako kashasha
 
Uthibitisho mkubwa huu kwamba wengine wanasoma shule ili tu waufaulu mtihani. Applikesheni husika maishani ni nongwa & guyuguzo.


Rarely do I speak english in my daily activities, always I speak swahili, do you then expect me to master English?!, In my environment I do not have anybody with whom I can talk in English, how can I remember "a lot of" etc while my brain is filled with a lot of english language rust !!🀣.

Kiswahili oyeee!!
 
Mie bado naamini yupo sahihi kwa sababu alishindwa kucount hayo ma-reforms ndio maana akatumia a lot na is kwa wakati mmoja, so hata kama kuna makosa lakini sio dhahiri kiasi cha mtu kukosoa, bado ni debetable kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…