DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,090
Ngoja nijaribukosa ni lipi??🤣🤣🤣🤣 liseme bana, 'is'???
There is no subject - verb agreement
A lot of reforms are....
Nimejaribu tu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nijaribukosa ni lipi??🤣🤣🤣🤣 liseme bana, 'is'???
Sawa mkuu.Mkui reforms zinaendelea hajakwisha nadhani namba 4 ndio sahihi.
😂😂😂🤣🤣 mkuuNgoja nijaribu
There is no subject - verb agreement
A lot of reforms are....
Nimejaribu tu mkuu
Wewe inasemaje mkuu?😂😂😂🤣🤣 mkuu
Wewe inasemaje mkuu?
Licha ya mengineyo, sasa hiyo now ya nini wakati kuna going on?!There is a lot of reforms going on now in the ministry..
Ila pia kwa kiinglishi kulicho kizuri huwezi kusema A lot. Ukidema tu Reforms are going on or rather A number of reforms are going on in our Ministry inatosha. A lot ni wingi na reforms ni wingi na inabeba a lot na a number.Ninakubaliana nawe hapa tena 100% tu.
Chuo gani hicho wanafunzi na walimu wao wanaenda kufanya ufuska kwenye mapango ya mawe? Labda ungetoa mfano ni wapi walifanya vizuri kitaaluma, vitendo na maadili baada ya kuondoka chuoni ili wana jukwaa walinganishe.Kwa miaka 15 sasa Chuo Kikuu ambacho kinazalisha Candidates ambao si tu wako Excellent Academically lakini pia hata Kivitendo ( Kiutendaji ) popote pale walipo wanafanya vizuri mno ni wa kutoka Chuo cha SAUT. Hili nina uhakika nalo 100% ukibisha ( ukilibishia ) utakuwa umeamua tu.
hamia uingereza basi mbona hawajakupa uraia hata visa una shida kuipata ya kwenda uingereza .Unajikomba sana kwa waingereza kwa kipi unachofaidi mbona uko choka mbaya tu.NyoooooNgoja nijaribu
There is no subject - verb agreement
A lot of reforms are....
Nimejaribu tu mkuu
Hapo unaendelea kuwapeleka shimoni. Vitu visivyohesabika ni mchanga, maji na mwazo yasiyoisha (infinity continuity). Kama wewe ni mtaalamu wa lugha hasa kiingereza hebu weka mapendekezo yake katika lugha halisia ya 'Wales' (Native English) ili somo lieleweke vema kama mfano katika utungaji wa sentensi Uwezo mzuri wa kuongea au kuandika kwa kutumia lugha ya kiingereza kunategemea kuwa ni sharti iwe ndio lugha yako ya kwanza kwa mawasiliano na kufikiria badala ya kutumia kimatengo kufikiria unahamishia kwenda kiswahili kisha ndio unapeleka namna ulivyofikiria, kuelewa, kutafisiri na kuamua hicho kilichojitengeza ndio kinapaswa kuzungumzwa. Ni bora wakati unaandika unaweza ukatumia 'proofreading' grammar and spelling correction' kupiga msasa ujumbe wako.Kumbe mtoa mada na wewe hujui kidhungu!! Mh. Yuko sawa kwa vyote gramma na semantic.
Kula shule kwanza:
“A lot of Reforms is going on now in our ministry “ tuigawanye hii sentensi katika kiima (subject) na kiarifu (predicate).
Kiima = “A lot of reforms” kiarifu = “is going on now in our ministry.” Neno “a lot” humaanisha wingi wa vitu visivyohesabika, na unapotendesha neno kama hilo kitenzi kiunganishi huwa ni ‘is’ mf. I saw ‘a lot’ of snow fall.....
hivyo, basi, tunaweza kusema mh. amemaanisha kuwa ‘kuna wingi usiyohesabika wa mabadiliko yanayofanywa ndani ya wizara yetu hivi sasa.’
sio sawa kusema ‘a lot of....are going on....’
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.
Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.
Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.
Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....
1. A lot of reforms is going on now in our Ministry
2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry
3. A lot of reforms are going on now in our Ministry
4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.
Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.
Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Asante mkuu kwa kunimwagia povuhamia uingereza basi mbona hawajakupa uraia hata visa una shida kuipata ya kwenda uingereza .Unajikomba sana kwa waingereza kwa kipi unachofaidi mbona uko choka mbaya tu.Nyoooo
Kingeee sahihi niusichoelewa hapo nini sasa? mbona poa tu kuwa kuna mtu anawekwa ndani
Acha kupalilia ujinga wa mtu kwa kumuacha aishi na makosa.Zote sawa tu, ilimradi ameeleweka.
Unauhakika huyo anaesemwa amekosea yupohumu anaona wanavyo mkosoa ama unaongeatu kama umekatwa kichwa.Acha kupalilia ujinga wa mtu kwa kumuacha aishi na makosa.
Siku akijua amukumwambia makosa yake atawachukia.