Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Mkuu YEHODAYA hapa hakuna grammatical errors isipokuwa kuna unnecessarily wording. Huyu mwalimu wa Kenya alikuwa anairekebisha hiyo statement ya royal family kwa kutumia maneno machache ambayo bado yangeweza kueleweka badala ya maneno mengi. Of course kuwa muingereza au mmarekani haimaanishi ndio utajua kila neno la kiingereza, the same thing hata kwetu sisi watanzania, kuwa mtanzania haiimaanishi utajua kila neno la kiswahili, lakini hii haimaanishi kwamba muingereza kiingereza kinamshinda au ni kibovu au kiswahili cha mtanzania ni kibovu au kinatushinda.
Swadakta!
 
Huu ulioweka hapa ni ujinga. Kuna formula moja ujue, kama kuna vitu viwili au vitatu na vinaonekana kuwa tofauti kuna mawili i) vyote vinaweza kuwa sio sahihi au ii) kimoja tu ndio kinaweza kuwa sahihi.

Kueleweka au kutoeleweka ni kitu kinachoweka kutokea hata kwa kutumia lugha kwa usahihi. Kueleweka sio jambo lililo katika control ya msemaji!! Umeleta mada nyingine kabisa.
Hebu edit kwanza hapo ulipo andika "kinachoweka kutokea" alafu urudi tena hapa.
Ila kama ulikuwa na maana ya "kinachoweza kutokea" basi nisawa ilimradi umeeleweka.
 
Virtually, sentences 2,3, and 4 are correct.
But if it was not in the official hours, when this sentence was spoken,
Only sentences 2 and 4 are equally correct.

Let's review English grammar before giving our views.
 
Kumbe mtoa mada na wewe hujui kidhungu!! Mh. Yuko sawa kwa vyote gramma na semantic.

Kula shule kwanza:

“A lot of Reforms is going on now in our ministry “ tuigawanye hii sentensi katika kiima (subject) na kiarifu (predicate).
Kiima = “A lot of reforms” kiarifu = “is going on now in our ministry.” Neno “a lot” humaanisha wingi wa vitu visivyohesabika, na unapotendesha neno kama hilo kitenzi kiunganishi huwa ni ‘is’ mf. I saw ‘a lot’ of snow fall.....

hivyo, basi, tunaweza kusema mh. amemaanisha kuwa ‘kuna wingi usiyohesabika wa mabadiliko yanayofanywa ndani ya wizara yetu hivi sasa.’

sio sawa kusema ‘a lot of....are going on....’
Kichwani mwako una uhakika zimeenea?
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Forth sentence is okay.
 
Namba tatu ndio sahihi grammatically.
Ukishasema " a lot" unamaanisha nyingi so yeye kwenye sentensi yake amepungukiwa alipotumia is badala ya are.
 
Dharau nyingi kumbe Kiingereza tatizo.
Mtu wako huyo. Kuna wakati mwendazake alifagilia UD. Ukaona kawivu. Ukaifagilia SAU. Katika mazao bora ya chuo hicho kikuu ukamtaja Abbas! Imekuwaje leo? Kwa mwendazake na ...chako kuna utetezi wa hovyo kuwa hao ni wa sayansi. Je, huyu naye? Hamchelewi kusema kasomea sayansi ya mawasiliano/sheria!
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.reforms are going on in our Ministry
(Educational or managerial) Reforms are going on in our Ministry .the question is which reforms it should be like this: Educational Reforms are going on in our Ministry
 
Pole Dkt. Abbas, ila haukijui Kiingereza.
🤣🤣🤣🤣 mkubwa nakijua kiingereza ila ndugu zangu, wajomba na baba zangu, wadogo, mashangazi zangu hawakijui...tena wengine kabisa

Kubali kuwa haukutegemea kuwa challenged kuanzisha hii topic, najua inauma. Kunywa tu vidonge vichingu

hayo ya kumtaja waberoya kila post, haikusaidiii, kubali ulichemka tu na unajikaza sana

kumbe uko hivi??🤣🤣🤣
 
Hongera kwa upeo wako mkubwa, Ila ungeongeza elimu ungeongeza upeo wako zaidi . Lakini mtu mwenye upeo anajibu kwa kukashifu kweli? Mwenye upeo + elimu wanakashifu kwa kutumia "logic" . Piga kitabu Basi!!
 
Acha Unafiki wako hapa sawa? Yeye ( huyu Dkt. Abbas wako ) ni nani akikosea Jambo tena Muhimu kama hili la Kimawasiliano ( Uwasilishaji ) basi tumuogope na 'tusimchane' ili ajirekebishe na pengine hata Wengine nao wasikirejee hicho hicho?

Then ukajua mimi tu nawaza hivyo??

Niko Canada ndugu!!! sijui unaishi wapi??
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
KAMA KIINGEREZA hukijui, UNAKOSOA NINI?? unaweza kukosoa USICHOKIJUA???😃😃😂😂🤣🤣
Shame on you! 🤨🤨😃😃
 
a lot of reform(s) "is" tatizo limeanzia hapo
 
Acha Unafiki wako hapa sawa? Yeye ( huyu Dkt. Abbas wako ) ni nani akikosea Jambo tena Muhimu kama hili la Kimawasiliano ( Uwasilishaji ) basi tumuogope na 'tusimchane' ili ajirekebishe na pengine hata Wengine nao wasikirejee hicho hicho?
Hapa hakuna unafiki wala nini ndugu. Nakueleza ukweli kabisa. Labda nikuulize kuhusu movies za Hollywood: Hujawahi kuona kuwa wanaandika kwenye subtitles pia wanaongea "She + don't" ama "He + don't" na makosa mengine mengi. Haya ni makosa ya wazi ya lugha na wanajua lakini kwa sababu ina sound vizuri zaidi basi wanaacha kama ilivyo...

Lakini pia umewahi kuishi na wa Nigeria? Mimi niko nao kila siku kitaa..na umefuatilia wanavyoongea na lafudhi yao, Tatizo wabongo mnadhani kuongea English unatakiwa kuachana na accent yako ya kuzaliwa....

La msingi ueleweke wakati wa kuzungumza, ndilo lengo la lugha, labda kwenye kuandika ndipo unatakiwa kuwa makini. Kwenye kuongea ukijifanya kuwa sahihi kwa 100% hutofika...

Hii kama nilivyosema ni kwenye lugha zote. La msingi ujumbe ufike...
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
There are ongoing rule changes in the ministry
There are ongoing reforms in the ministry
Reforms will continue in the ministry
etc
 
Back
Top Bottom