Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Cha msingi ni kuelewa msemaji anamaanisha nini

Wahindi kiswahili hawakijui vizuri lakini tunaelewana nao bila shida wakiongea

Cha msingi kueleweka tu unamaanisha nini mfano unaomba maji unaweza sema water bring

Hakuna haja ya kukesha ukikariri kunyoosha sentensi
Kila Utetezi wako unaonyesha tu Kwetu how Moronic you're mbele yetu na nakushauri acha Kuchangia hapa ili upunguze Watu kuendelea Kukudharau kama pia siyo Kukupuuza pia sawa?

Cc: Waberoya
 
Kingereza ni lazima mkuu kwa kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu.Umepata study tour ya kwenda Uingereza kwa mfano,unafanyaje?Jamani Watanzania tukoje,mbona tunakuwa short sighted sana.Na kwa nini wengine waweze,wengine wasiweze.Afrer all Kingereza ni lugha tu, ambayo mtu anaweza kujifunza akiwa determined, there is nothing impossible.
Unatetea tu Upopoma ( Ujuha ) huu au?
 
KIINGEREZA hata waingereza wenyewe kinawasumbua mfano ona mwalimu wa kenya alivyosahihisha kiingereza kibovu kilichotolewa na familia ya malkia wa uingereza

A teacher based in Kenya’s capital Nairobi, Mwalimu Joshua Njenga has detected some grammatical errors in the statement issued by the Buckingham Palace on Teusday, March 9 with regard to Prince Harry and Meghan Merkle’s interview with Oprah.


In a viral post on Facebook, Njenga highlighted what he believed were ‘errors’ contained in the statement, introducing the wordings he thought would be appropriate instead.


Njenga said he had a debate with his students who noted the statement was grammatically faulty right from the header to the closing sentence, pointing out the unnecessary wordings that had been carried therein.


Dear Buckingham Palace, In my morning class, we discussed the difference between active and passive writing, and we used your statement for practice. I asked my students to rewrite it using active language. Here is what they did.” he said in a caption before sharing the ‘corrected statement’



View attachment 1768448
PhD ya magu inabidi ichunguzwe.
 
Licha ya kuwa SIMPENDI HUYO ABAS, LAKINI

NADHANI WATANZANIA, HASA MLIOKO UKO HOME TZ MNA COMPLICATE SANA KUHUSU ENGLISH.

MIMI NINAVYOJUA HAKUNA MTU DUNIANI ANAYEWEZA KUONGEA LUGHA IWE YA KUZALIWA AMA KUJIFUNZA KWA USAHIHI 24/7 BILA KUKOSEA.

JUST CHILL OUT SOMETIMES.....
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Sentensi namba 1 ina walakini kushindwa kushindwa kutofautisha wingi (plural) na umoja (singular) zingine kuanzia 2-4 zina afadhali ijapokuwa sio katika unyoofu wa kiingereza halisi (native English)

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
 
Huyu jamaa ana kiingereza kizuri Ila tu ameteleza kidogo, hata mwingereza nae huteleza .
 
Licha ya kuwa SIMPENDI HUYO ABAS, LAKINI

NADHANI WATANZANIA, HASA MLIOKO UKO HOME TZ MNA COMPLICATE SANA KUHUSU ENGLISH.

MIMI NINAVYOJUA HAKUNA MTU DUNIANI ANAYEWEZA KUONGEA LUGHA IWE YA KUZALIWA AMA KUJIFUNZA KWA USAHIHI 24/7 BILA KUKOSEA.

JUST CHILL OUT SOMETIMES.....
Acha Unafiki wako hapa sawa? Yeye ( huyu Dkt. Abbas wako ) ni nani akikosea Jambo tena Muhimu kama hili la Kimawasiliano ( Uwasilishaji ) basi tumuogope na 'tusimchane' ili ajirekebishe na pengine hata Wengine nao wasikirejee hicho hicho?
 
Back
Top Bottom