GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #121
Pole Dkt. Abbas, ila haukijui Kiingereza.Alisahihisha mpaka statement za Royal Family, kwa queen mwenyewe
mwanzisha maada kaona Abbas kakufuru??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Dkt. Abbas, ila haukijui Kiingereza.Alisahihisha mpaka statement za Royal Family, kwa queen mwenyewe
mwanzisha maada kaona Abbas kakufuru??
Kila Utetezi wako unaonyesha tu Kwetu how Moronic you're mbele yetu na nakushauri acha Kuchangia hapa ili upunguze Watu kuendelea Kukudharau kama pia siyo Kukupuuza pia sawa?Cha msingi ni kuelewa msemaji anamaanisha nini
Wahindi kiswahili hawakijui vizuri lakini tunaelewana nao bila shida wakiongea
Cha msingi kueleweka tu unamaanisha nini mfano unaomba maji unaweza sema water bring
Hakuna haja ya kukesha ukikariri kunyoosha sentensi
Wewe unakijua?Pole Dkt. Abbas, ila haukijui Kiingereza.
Why not? Kuna kosa gani hapo la kigrammar uniambieGrammatically hiki ni Kiingereza sahihi?
Unatetea tu Upopoma ( Ujuha ) huu au?Kingereza ni lazima mkuu kwa kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu.Umepata study tour ya kwenda Uingereza kwa mfano,unafanyaje?Jamani Watanzania tukoje,mbona tunakuwa short sighted sana.Na kwa nini wengine waweze,wengine wasiweze.Afrer all Kingereza ni lugha tu, ambayo mtu anaweza kujifunza akiwa determined, there is nothing impossible.
PhD ya magu inabidi ichunguzwe.KIINGEREZA hata waingereza wenyewe kinawasumbua mfano ona mwalimu wa kenya alivyosahihisha kiingereza kibovu kilichotolewa na familia ya malkia wa uingereza
A teacher based in Kenya’s capital Nairobi, Mwalimu Joshua Njenga has detected some grammatical errors in the statement issued by the Buckingham Palace on Teusday, March 9 with regard to Prince Harry and Meghan Merkle’s interview with Oprah.
In a viral post on Facebook, Njenga highlighted what he believed were ‘errors’ contained in the statement, introducing the wordings he thought would be appropriate instead.
Njenga said he had a debate with his students who noted the statement was grammatically faulty right from the header to the closing sentence, pointing out the unnecessary wordings that had been carried therein.
Dear Buckingham Palace, In my morning class, we discussed the difference between active and passive writing, and we used your statement for practice. I asked my students to rewrite it using active language. Here is what they did.” he said in a caption before sharing the ‘corrected statement’
View attachment 1768448
Ninadhani SAUT Dar es Salaam Campus.Hivi PhD ndo alisomea pale Malimbe?
Hivi huyu alikuwaje Msemaji wa Serikali?Anadhani bado ni msemaji wa serikali
Hivi juha si yule anayeshindwa hata kujifunza Kingereza,ajabue.....!Unatetea tu Upopoma ( Ujuha ) huu au?
Huyu ndiyo 'Mngwini' JF nzima Mkuu?
Sentensi namba 1 ina walakini kushindwa kushindwa kutofautisha wingi (plural) na umoja (singular) zingine kuanzia 2-4 zina afadhali ijapokuwa sio katika unyoofu wa kiingereza halisi (native English)Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.
Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.
Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.
Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....
1. A lot of reforms is going on now in our Ministry
2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry
3. A lot of reforms are going on now in our Ministry
4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.
Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.
Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Nimeshasema kuwa sikijui au hujaona?Wewe unakijua?
Mimi sikijui Kiingereza kama Dkt. Abbas.Why not? Kuna kosa gani hapo la kigrammar uniambie
Nadhani kwa sasa tuanze na ya Abbas.PhD ya magu inabidi ichunguzwe.
Huyu jamaa huwa naona ni "ngwini" ambaye English yake imesimama wima. Huwa akiandika lugha ya Malkia unaiona ina radha Nyani NgabuHuyu ndiyo 'Mngwini' JF nzima Mkuu?
Product ya chuo cha kata 😅😅Nimeshasema kuwa sikijui au hujaona?
Acha Unafiki wako hapa sawa? Yeye ( huyu Dkt. Abbas wako ) ni nani akikosea Jambo tena Muhimu kama hili la Kimawasiliano ( Uwasilishaji ) basi tumuogope na 'tusimchane' ili ajirekebishe na pengine hata Wengine nao wasikirejee hicho hicho?Licha ya kuwa SIMPENDI HUYO ABAS, LAKINI
NADHANI WATANZANIA, HASA MLIOKO UKO HOME TZ MNA COMPLICATE SANA KUHUSU ENGLISH.
MIMI NINAVYOJUA HAKUNA MTU DUNIANI ANAYEWEZA KUONGEA LUGHA IWE YA KUZALIWA AMA KUJIFUNZA KWA USAHIHI 24/7 BILA KUKOSEA.
JUST CHILL OUT SOMETIMES.....